MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Saturday, 7 September 2013

ABIDAL: BARCELONA HAWAKUNILIPA HATA SENTI TANO MIEZI YOTE NILIYOKUWA NAUMWA

Posted on 01:15 by Unknown
Eric Abidal amekasirishwa na namna maisha yake ya soka ndani ya Barcelona yalivyoisha na kusema kwamba hakulipwa chochote na klabu hiyo wakati wote alipokuwa akiugua.

Beki huyo mwenye miaka 34 alifanyiwa upasuaji wa kuwekewa ini jipya mnamo mwezi April mwaka jana, kumfanya akose michuano ya Euro na kumuweka nje ya soka kwa muda wa mwaka mmoja. Airudi kuichezea Barcelona kwenye mechi kadhaa kabla ya kuondokakujiunga na Monaco.
"Tatizo lilikuwa kwamba mkataba wangu ulikuwa unaenda mwishoni. Kwa maana hiyo ilikuwa aidha niongeze au uishe. Nilijiandaa kwa vyote," Abidal alisema katika interview aliyofanya na sports daily L'Equipe ya leo Ijumaa. "Ilikuwa ni vigumu kukubali lakini siku na jinsi. Maisha yangu ndani ya Barcelona yalikuwa yamefikia mwisho, lakini nina furaha nimeanza maisha mapya na Monaco."
Lakini Abidal amesema alikerwa na kusikitishwa namna kuondoka kwake kulivyotangazwa.
"Kitu kigumu kuelewa kilikuwa walichosema Barcelona katika mkutano wangu wa mwisho wa waandishi wa habari. Kwa kusema uamuzi ule ulitokana na sababu za kiuledi zaidi, ulivifanya vilabu vingine viwe na mashaka," Abidal alisema. "Haikuwa hata suala la fedha. Na ushahidi upo wazi kwamba miezi yote niliyokuwa kitandani naumwa, klabu haikunilipa chochote. Sasa nina bahati Monaco wameniamini - Kocha na Raisi wote wana imani juu yangu."
Abidal amecheza kwa dakika 90 katika kila mchezo wa ligi na  anategemewa kuichezea Ufaransa katika mechi ya kugombea nafasi za kucheza kombe la dunia dhidi yat Georgia.
 
Chanzo cha habari www.shaffihdauda.com
Read More
Posted in Michezo | No comments

Thursday, 5 September 2013

Kikwete, Kagame come face to face in Kampala

Posted on 08:19 by Unknown
Dar/Kampala. President Jakaya Kikwete and Rwanda’s Paul Kagame come face to face today in Uganda in their first encounter since the raging diplomatic wrangle between their countries began. They will converge in Kampala for an international conference on the Democratic Republic of Congo.
Ugandan President Yoweri Museveni will host the 7th Extraordinary Summit on security in Eastern DRC at Munyonyo Commonwealth Resort. But Mr Kikwete and Mr Kagame are likely to steal the headlines at the conference with their encounter coming at a time when the stand-off is at its peak.
The tension between the two countries started in May and was triggered by President Kikwete’s appeal to Rwanda to engage FDRL rebels in talks. Mr Kikwete’s suggestion at a meeting of the Great Lakes countries, which met on the sidelines of the African Union summit in Addis Ababa, did not go down well with Mr Kagame and other top Rwandese officials. They link the FDRL with the 1994 genocide in which over 800,000 people were killed.
Significantly, too, the two leaders are meeting on the heels of a fresh row after Rwanda slapped a new transport charge on Tanzanian trucks. The rise of the road toll fee from $152 to $500 is seen as retaliation for the mass expulsion of thousands of Rwandese citizens from Kagera Region in an exercise to flush out illegal immigrants.
Mr Salva Rweyemamu, the director of communication at State House, confirmed yesterday that President Kikwete would travel to Uganda this morning. Uganda’s government-owned New Vision reported last evening that Mr Kagame was due in Kampala last night. Mr Rweyemamu said he would not speculate on Mr Kagame’s presence or his meeting with Mr Kikwete.
Last week, Prime Minister Mizengo Pinda said in Parliament that Mr Kikwete had asked President Museveni to play the role of mediator on the sour relations with Rwanda. Mr Pinda spoke after the Leader of the Official Opposition in Parliament, Mr Freeman Mbowe, demanded to know what steps the government was taking to normalise relations with Rwanda.
Mr Mbowe, who is also the Hai MP, claimed that Rwanda had convinced other EAC member states to sideline Tanzania. He pointed to recent tripartite meetings between Rwanda, Kenya and Uganda on infrastructure, immigration and political federation.
Mr Pinda, who said Rwanda had over-reacted, told Parliament that President Kikwete had reached out to Mr Museveni to ensure that matters did not deteriorate further. He added, however, that Tanzania does not believe it is being sidelined on EAC matters.
Efforts to establish whether President Museveni would reconcile the two leaders proved futile as members of the delegations kept their cards close to their chest. But University of Dar es Salaam political science lecturer Bashiru Ally said there was a likelihood that Mr Kikwete and Mr Kagame would use the opportunity to iron out their differences.
“It is important that they meet for the good of their nations and the EAC region at large,” Mr Ally said. “The two countries’ interests are intertwined, so let us hope they will come out of Uganda with good news.”
The DRC Summit was preceded by parallel meetings of regional ministers of defence and a regional inter-ministerial committee comprising ministers of foreign affairs from member states.
Members of the International Conference on Great Lakes Region include Tanzania, Angola, Burundi, the Central African Republic, the Republic of Congo, the Democratic Republic of Congo, Kenya, Uganda, Rwanda, Sudan and Zambia.
Read More
Posted in East Africa News | No comments

Weighbridge Operator - (Eight Posts)

Posted on 08:07 by Unknown
Weighbridge Operator - (Eight Posts)
Tanzania National Roads Agency (TANROADS)

Date Listed: Sep 4, 2013
Phone: No Phone Calls
Area: Morogoro
Application Deadline: Sep 25, 2013

Position Description:
From Mwananchi September 4, 2013
Tanzania National Roads Agency (TAN ROADS) is a Semi Autonomous, Agency under the Ministry of Works established on July 1, 2000 and is responsible for the day-to-day management of the Tanzania Mainland's trunk and regional roads network. Its primary functions include the management of maintenance and development works, operations of the network and axle load control the implementation of road safety and environmental measures, provision of advice on the strategic framework, policies and plans for the road sector.
Regional Manager, TANROADS - MOROGORO is looking for suitable qualified Tanzanian candidates for 11 posts available at Mikese, Mikumi and Kihonda Weigh Bridge stations. Regional Manager TANROADS ¬Morogoro invites interested candidates to apply for the following positions:
Key qualifications for the weighbridge Operator;
Holder of full Technician Certificate in Civil Mechanical or Electrical Engineering (FTC), (Higher qualification will be advantageous);
Must be Computer literate (at least Advance Certificate in Computer
Applications)
Must be fluent in both written and spoken Kiswahili and English languages;
Must be a Tanzanian Citizen;
Not above 35 years of age
Duties and Responsibilities of the Weighbridge Operator;
The holder of this post who reports to Shift In-charge will be responsible for:
Enforcing Road Traffic Axle Load Control by the use of Weighbridge scale devices;
Carrying out activities as described in the Road Traffic (maximum Weight of Vehicles) Regulations, 2001 which include the following:
Weighing Motor Vehicles Gross Vehicle Weight (GVW) > 3.500kg plying on our public Roads;
Imposing road damage fees on the spot for overloaded motor vehicles;
Measuring physical dimensions of motor vehicle or any load being carried on the motor vehicle for determining compliance or non- compliance with vehicle dimension limits by the transporter for provision of relevant advice; Recording all necessary particulars regarding the motor vehicle being weighed;
Observing good customer care, dignity and integrity;
Reporting all matters of the respective shift to the Shift In-charge; performing other duties as may be assigned from time to time by the Shift In-charge / Regional Manager.


Application Instructions:
All the interested and qualified Tanzanians are invited to submit their applications in writing enclosing detailed curriculum vitae and certified copies of relevant education and professional certificates, together with names of two referees and their contact addresses, telephone number (s) and e-mail addresses, so as to reach the addressee mentioned below not later than 25th September, 2013 at 4:30 pm. Only short listed candidates will be contacted.
Please apply to:
Regional Manager,
TANROADS,
P. O. Box 91,
Morogoro
Read More
Posted in Jobs | No comments

Administration Officer

Posted on 08:04 by Unknown
Administration Officer
Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority (MUWSA)

Date Listed: Sep 5, 2013
Email Address: Click to Email
Phone: No Calls Please
Area: Moshi
Application Deadline: Sep 26, 2013


Position Description:
From Daily News September 5, 2013
Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority (MUWSA) is a full autonomous 'Utility responsible for the provision of safe water, collection and disposal of wastewater in Moshi, the town of Mt. Kilimanjaro. MUWSA is looking for dynamic, results driven individual to fill in the position of:
Reporting to:Human Resources and Administration Manager
Purpose of the Job
This is a Supervisory position in which ~he position holder is required to oversee all Administrative operations and routines.
Main duties and responsibilities:
Ensuring proper procedures and methods for Administrative functions are in place and conform to the International Standardization for Organization (ISO). These procedures include security, real estate management, motor vehicle management, cleanliness, site upkeep and gardening, repair and rehabilitation of assets and postal services.
To ensure transport facilities are well managed this includes fuel and motor vehicle movements, maintenance, servicing, licence renewal, insurance services as well driving compliance to Authority Transport Policy.
Ensuring proper management of Authority's assets to include title deed procurement, codification, repair/rehabilitation/construction proposals and proper maintenance of the same.
To ensure that administrative related key deliverables are achieved to the satisfaction of the required targets and beyond.
To oversee visitation of Authority's guests to include booking arrangements, travelling, meeting, record taking, and archive management.       
Making closer follow up of administrative related labour, civil and criminal cases in consultation with Human Resources and Administration Manager
Perform any other related duties as may be assigned by the Human Resources and Administration Manager.
Minimum Job Requirements
Qualification:
Holder of first degree/Advanced Diploma in Human Resources Management/Public Administration/Business Administration.
Working experience
Minimum of five (5) years working experience in similar field from reputable organization .
Common Requirements for All Vacancies
Key competences
Proven substantial computer knowledge and skills Demonstrated good leadership qualities
Ability to work under pressure
High level of initiative, creativity and integrity
Age Limit
The applicant should between 30 and 50 years of age
Remuneration:
This position attracts competitive salary plus other fringe benefits.


Application Instructions:
Handwritten application along with Curriculum Vitae to include reliable contacts [emails and day time working telephone], applicants' recent passport size, copies of all relevant certificates, transcripts, names and addresses of at least three [3] reputable referees, so as to reach the undersigned by 26 September 2013, Applicants who will not be contacted should regard themselves as unsuccessful.
"MUWSA is an equal opportunity employer"
Managing Director,      
Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority [MUWSA],
P.O Box 1001,
Moshi
Our Vision:"To be the best water and Sanitation utility in Tanzania"
Junction of Kibo/Bath Road
P.O Box 1001, Moshi ,
Tanzania:
E-Mail Link above
Website Link below
Read More
Posted in Jobs | No comments

Sales & Marketing Officer 1 (Four Posts)

Posted on 08:04 by Unknown
Sales & Marketing Officer 1 (Four Posts)
Tanzania Standard (Newspapers) Limited

Date Listed: Sep 5, 2013
Phone: No Calls Please
Areas: Dodoma, Mbeya, Morogoro, Moshi
Application Deadline: Sep 18, 2013

Position Description:
From Daily News September 5, 2013
Tanzania Standard (Newspapers) Limited is a private limited liability company owned by the Government of the United Republic of Tanzania. The company publishes Tanzania's leading newspapers - Daily News, Sunday News, Habarileo, Habarieo Jumapili, Spotileo and online editions of Daily News and Habarileo newspapers accessed on the website www.dailynews-tsn.com  and www.habarileo.co.tz
 It owns modern printing and pre-press facilities and has an elaborate products distribution network.
Suitably qualified Tanzanians are invited to join our family in the following positions:
Reports to:Sales and Marketing Manager
Working Stations:(Moshi, Mbeya, Dodoma and Morogoro)
Entry Qualifications:
Holder of B.Com (Marketing; Business Administration) or its equivalent from a recognized Institution. S/he must have at least three (3) years relevant work experience.
S/he must have computer skills.
Good written communication skills
Should be fluent in English and Kiswahili.
Main duties and Responsibilities:
Marketing obligation
Sells advertisement space Prepares periodic sales reports Collects advertisement revenue
In collaboration with the debt collector makes follow up on advertisement debts Directs and attends to customers
Preparing periodic sales reports and sales forecast
Conduct periodic market surveys     .
Develops individual targets and all performance as part of the individual performance agreement in consultation with the head of section
Performs any other duties as may be assigned by your supervisor
Circulation and Newspaper Distribution obligation
Appoint newspaper agents and identify more distribution and selling points Collects sales proceeds, receives
Verifies returned newspapers
Monitors newspaper delivery and report status to Head office on daily basis
Prepares weekly and monthly circulation sales and newspaper returns collection and sales reports
Conducts market surveillance and intelligence to check the performance of TSN against competitors' products performs any other duties as may be assigned by your supervisor
Remuneration:
Competitive remuneration package will be offered to the right candidates.


Application Instructions:
Letter of application should be written in English preferably handwritten and should address the region you wish to be posted, attaching updated and detailed Curriculum Vitae, certified copies of academic/professional certificates, testimonials and names, telephones and addresses of two easily contactable referees. This document must be submitted in a sealed envelope to the address below:
Managing Editor,
Tanzania Standard (Newspapers) Limited,
TSN Building, 4/ll Mandela Express Way,
P.O. Box 9033,
Dar Es Salaam.
Deadline for applications is 18th September, 2013. Please note that only shortlisted candidates will be contacted. If you have not heard from us within three (3) weeks after the application deadline, you can assume that your application was not successful.
Read More
Posted in Jobs | No comments

Wabunge wa Upinzani nchini Kenya wasusia kikao cha Bunge

Posted on 08:01 by Unknown
Baadhi ya wabunge wa upinzani nchini Kenya wameondoka bungeni wakati mjadala mkali ukiendelea kuhusu kuunga mkono au kupinga nchi hiyo kujiondoa kutoka katika mahakama ya kimataifa ya ICC.
 
Ukumbi wa Bunge la Kenya
Wabunge hao wameondoka bungeni baada ya kusema kuwa kamwe hawataungana na upande wa serikali kuunga mkono hoja hii ya kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC.Ni kutokana na kuwa kwamba upinzani una idadi ndogo zaidi ya wabunge bungeni.
Naibu kiranja wa wabunge walio wachache bungeni Jakoyo Midiwo, alisema kuwa wabunge wa upande wa serikali wanaotetea hoja hii ya kujondoa Hague watakuja kujuta. Mjadala huu unatokana na hatua ya Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto kukabiliwa na kesi za uhalifu dhidi ya binadamu katika mahakama hiyo wakati wa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu mwaka 2007-2008Hatua hii ya wabunge inakuja zaidi ya wiki moja kabla ya kuanza kwa kesi dhidi ya naibu Rais wa Kenya Williiam Ruto kuhusiana na ghasia za baada ya uchaguzi mwaka 2008.Ruto anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadamu.

Rais Uhuru Kenyatta pia anatarajiwa kufika katika mahakama hiyo mwezi Novemba kwa kesi dhidi yake.Wawili hao wanashtakiwa kwa kuhusika na ghasia za baada ya uchaguzi mwishoni mwa mwaka 2007.Msemaji wa ICC ameambia BBC kuwa kesi hiyo itaendelea hata ikiwa Kenya itajiondoa kwenye mkataba wa Roma uliopelekea kuanzishwa kwa mahakama hiyo.

Bwana Fadi El Abdallah, alisema kuwa itachukua karibu mwaka mmoja kwa mchakato wa nchi yoyote ile kujiondoa kutoka katika mahakama ya ICC na hii bila shaka inaathiri tu kesi zilizokuwa mbele ya mahakama hiyo kwa wakati huo.

Hii ni hatua ya dharura inayochukua serikali kujitoa katika Mkataba wa Roma wa mahakama hiyo ulioidhinishwa na Umoja wa mataifa mnamo tarehe 17 July, mwaka1998.

Kenya inataka kutoa mfano wa kuwa nchi ya kwanza Afrika kuchukua hatua hiyo licha ya kwamba uamuzi huu hautoathiri kwa namna yoyote kesi zinazoendelea sasa katika mahakama ya ICC.

Mahakama hiyo ya kimataifa imesema kwamba kesi hizo zitaendelea hata iwapo Kenya itajitoa.Imesema itaichukua Kenya kiasi ya mwaka mmoja kabla ya kukubaliwa ombi hilo la kutaka kujiondoa katika mkataba wa Roma na hilo litaathiri tu kesi zitakazozuka baada ya muda huo.

Haya yanajiri wakati makamu wa rais William Ruto anatarajiwa kuondoka Kenya kueleka Hague Uholanzi wiki ijayo kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binadaamu katika mahakama hiyo ya ICC, kesi inayoanza tarehe 10 mwezi huu.

Wote wameshtakiwa kwa kuhusika katika ghasia zilizojiri baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2007.Kesi dhidi ya rais Uhuru Kenyatta inatarajiwa kuanza tarehe 12 mwezi Novemba.

Read More
Posted in East Africa News | No comments

Wednesday, 4 September 2013

Nani kaingia na nani katoka_Usajili vilabu vya Uingereza

Posted on 08:57 by Unknown


1.   ARSENAL

Waliowasili

Yaya Sanogo (Auxerre, huru), Mathieu Flamini (AC Milan, huru), Mesut Ozil (Real Madrid, ada ya Pauni Mil. 42.5), Emiliano Viviano (Palermo, kwa mkopo)

Walioondoka

Gervinho (Roma, ada pauni mil. 8), Vito Mannone (Sunderland, ada Pauni Mil. 2), Martin Angha (Nuremberg, ada haijulikani), Andrey Arshavin (Zenit, Huru), Denilson (Sao Paulo, Huru), Sebastian Squillaci (Bastia, Huru),  Marouane Chamakh (Crystal Palace, Huru), Andre Santos (Flamengo, Huru), Craig Eastmond (Colchester, Huru), Jernade Meade (Swansea, Huru), Sanchez Watt (Colchester, Huru), Conor Henderson (ameachwa), Johan Djourou (Hamburg, kwa mkopo wa msimu mzima), Francis Coquelin (Freiburg, kwa mkopo wa msimu mzima), Joel Campbell (Olympiacos, kwa mkopo wa msimu mzima), Ignasi Miquel (Leicester, kwa mkopo wa msimu mzima), Wellington (Real Murcia, kwa mkopo wa msimu mzima), Chuks Aneke (Crewe, kwa mkopo wa miezi sita)

2.   ASTON VILLA

Waliowasili

Aleksandar Tonev (Lech Poznan ada Pauni Mil.2.5), Jores Okore (Nordsjaelland, ada haijulikani), Leandro Bacuna (Groningen, ada haijulikani), Nicklas Helenius (Aalborg, ada haijulikani), Antonio Luna (Sevilla, ada haijulikani), Jed Steer (Norwich,huru), Libor Kozak (Lazio, ada Pauni Mil.7)

Walioondoka

Jean Makoun (Rennes, ada haijulikani), Richard Dunne (QPR, huru), Eric Lichaj (Nottingham Forest, huru),  Andy Marshall (Millwall, huru), Derrick Williams (Bristol City, huru), Brett Holman (Al Nasr, huru), Darren Bent (Fulham, kwa mkopo wa msimu mzima), Nathan Delfouneso (Blackpool, kwa mkopo wa miezi sita), Samir Carruthers (MK Dons, kwa mkopo wa miezi mitano), Graham Burke (Shrewsbury, kwa mkopo wa miezi mitano), Stiliyan Petrov (ameachwa), Stephen Ireland (Stoke, kwa mkopo wa msimu mzima, Barry Bannan (Crystal Palace, ada haijulikani).

3.   CARDIFF

Waliowasili
Gary Medel (Sevilla, ada ya Pauni Mil. 11), Steven Caulker (Tottenham, ada Mil.9), Andreas Cornelius (FC Copenhagen, ada ya Pauni Mil. 8.5), John Brayford (Derby, ada ya Pauni Mil. 1.5), Simon Moore (Brentford, ada haijulikani), Maximiliano Amondarain (Nacional, ada haijulikani), Kevin Théophile-Catherine (Rennes, ada ya Pauni  Mil. 2.1), Peter Odemwingie (West Brom, ada ya Pauni Mil 2.5).

Walioondoka

Robert Earnshaw (Toronto, huru), Stephen McPhail (ameachwa), Heidar Helguson (huru), Nat Jarvis (ameachwa), Ben Nugent (Brentford, kwa mkopo miezi mitano), Joe Ralls (Yeovil, kwa mkopo miezi mitano).



4.    CHELSEA

Waliowasili

Andre Schurrle (Bayer Leverkusen, ada pauni Mil. 18), Marco van Ginkel (Vitesse Arnhem ada ya Pauni Mil 9), Cristian Cuevas (O'Higgins, ada ya Pauni Mil. 3), Mark Schwarzer (Chelsea, huru), Willian (Anzhi, ada pauni Mil. 32), Samuel Eto'o (Anzhi, huru), Christian Atsu (Porto, ada pauni Mil. 3.5).


Walioondoka

Jeffrey Bruma (PSV,ada Pauni Mil.2.5), Florent Malouda (Trabzonspor, huru), Ross Turnbull (Doncaster, huru), Yossi Benayoun (released), Thibaut Courtois (Atletico Madrid, kwa mkopo wa msimu mzima), Patrick van Aanholt (Vitesse Arnhem, kwa mkopo wa msimu mzima), Oriol Romeu (Valencia, kwa mkopo wa msimu mzima), Cristian Cuevas (Vitesse Arnhem, kwa mkopo wa msimu mzima), Lucas Piazon (Vitesse Arnhem, kwa mkopo), Todd Kane (Blackburn,  kwa mkopo msimu mzima), Marko Marin (Sevilla, kwa mkopo msimu mzima), Gael Kakuta (Vitesse, kwa mkopo msimu mzima), Wallace (Inter Milan, kwa mkopo msimu mzima), Patrick Bamford (MK Dons, mkopo wa miezi mitano), Paulo Ferreira (ameachwa), Christian Atsu (Vitesse Arnhem, kwa mkopo msimu mzima), Victor Moses (Liverpool, kwa mkopo msimu mzima), Romelu Lukaku (Chelsea, kwa mkopo msimu mzima).

5.   CRYSTAL PALACE

Waliowasili

Dwight Gayle (Peterborough, ada Pauni Mil.8.5), Jose Campana (Sevilla, ada Pauni Mil.1.75), Stephen Dobbie (Brighton, ada haijulikani), Jerome Thomas (West Brom, huru), Kevin Phillips (Blackpool, huru), Elliot Grandin (Blackpool, huru), Marouane Chamakh (Arsenal, huru), Florian Marange (Bordeaux, huru), Neil Alexander (Rangers, huru), Jason Puncheon (Southampton, kwa mkopo wa msimu mzima), Jimmy Kebe (Reading, ada haijulikani), Jack Hunt (Huddersfield, ada haijulikani), Adrian Mariappa (Reading, ada haijulikani), Barry Bannan (Aston Villa, ada haijulikani)

Walioondoka
Alex Marrow (Blackburn, ada haijulikani), Andre Moritz (Bolton, huru), Jermaine Easter (Millwall, huru), Jason Banton (MK Dons, kwa mkopo wa miezi mitano), Ryan Inniss (Cheltenham, kwa mkopo wa mwezi mmoja), Peter Ramage (Barnsley, kwa mkopo wa msimu mzima)


6.   EVERTON

Waliowasili

Arouna Kone (Wigan, ada Pauni Mil.5), Joel Robles (Atletico Madrid, ada haijulikani), Antolin Alcaraz (Wigan,huru), Gerard Deulofeu (Barcelona, kwa mkopo wa msimu mzima), James McCarthy (Wigan, ada haijulikani), Romelu Lukaku (Chelsea, kwa mkopo wa msimu mzima), Gareth Barry (Manchester City, kwa mkopo wa msimu mzima)


Walioondoka
Jake Bidwell (Brentford, ada haijulikani), Jan Mucha (Krylia Sovetov,huru), Thomas Hitzlsperger (ameachwa), Conor McAleny (Brentford, kwa mkopo wa msimu mzima), Phil Neville (ameachwa), Marouane Fellaini (Manchester United ada ya Pauni Mil. 27.5), Victor Anichebe (West Brom, pauni mil. 6).


7.   FULHAM

Waliowasili

Sascha Riether (Cologne, ada Pauni Mil.1.3), Derek Boateng (Dnipro, ada haijulikani), Fernando Amorebieta (Athletic Bilbao, huru), Maarten Stekelenburg (Roma, ada haijulikani), Ange-Freddy Plumain (Lens, huru), Adel Taarabt (QPR, kwa mkopo wa msimu mzima), Darren Bent (Aston Villa, kwa mkopo wa misumu mzima), Scott Parker (Tottenham, ada haijulikani)

Walioondoka

Chris Baird (ameacha), Simon Davies (ameachwa) Mahamadou Diarra (ameachwa), Csaba Somogyi (released), Mladen Petric (ameaacha), Mark Schwarzer (Chelsea,huru), Tom Donegan (ameachwa), Alex Smith (Swindon,huru), Dan Burn (Birmingham, mkopo wa msimu mzima), Marcelo Trotta (Brentford, kwa mkopo), Cauley Woodrow (Southend, kwa mkopo).



8.   HULL

Waliowasili

Tom Huddlestone (Tottenham,ada Pauni Mil.5.25), George Boyd (Peterborough,huru), Maynor Figueroa (Wigan, huru), Curtis Davies (Birmingham, ada haijulikani), Ahmed Elmohamady (Sunderland, ada Pauni Mil.2), Allan McGregor (Besiktas,ada Pauni Mil.1.8), Steve Harper (Newcastle, huru), Danny Graham (Sunderland, mkopo kwa msimu mzima), Yannick Sagbo (Evian, ada Pouni Mil.3), Jake Livermore (Tottenham, mkopo kwa msimu mzima)

Walioondoka

Corry Evans (Blackburn, ada Pauni Mil.700,000), Sonny Bradley (Portsmouth, huru), Danny East (Portsmouth,huru), Mark Cullen (Luton,huru), Andy Dawson (Scunthorpe, huru), Jamie Devitt (Chesterfield, huru), Paul McKenna (ameachwa), Seyi Olofinjana (ameachwa), Jay Simpson (ameachwa), Jack Hobbs (Nottingham Forest, mkopo kwa msimu mzima), Tom Cairney (Blackburn, mkopo kwa miezi mitano), Cameron Stewart (Charlton, mkopo kwa msimu mzima).


9.    LIVERPOOL

Waliowasili

Kolo Toure (Manchester City, huru), Luis Alberto (Seville, ada Pouni Mil.6.8), Iago Aspas (Celta Vigo, ada Pauni Mil 7.5), Simon Mignolet (Sunderland, ada Pauni Mil. 9), Aly Cissokho (Valencia, kwa mkopo wa nsimu mzima), Tiago Ilori (Sporting Lisbon, ada haijulikani), Mamadou Sakho (Paris Saint-Germain, ada haijulikani), Victor Moses (Chelsea, kwa mkopo wa msimu mzima).

Walioondoka

Andy Carroll (West Ham ada Pauni Mil.15.5), Danny Wilson (Hearts,huru), Jamie Carragher (ameachwa), Jonjo Shelvey (Swansea,ada Pouni Mil.6), Stewart Downing (West Ham,ada Pouni Mil.6) Jay Spearing (Bolton, ada Pauni Mil.1.4) Suso (Almeria, kwa mkopo wa msimu mzima), Conor Coady (Sheffield United, kwa mkopo wa miezi mitano), Pepe Reina (Napoli, kwa mkopo wa msimu mzima), Jack Robinson (Blackpool, kwa mkopo wa misimu mzima), Oussama Assaidi (Stoke, kwa mkopo wa msimu mzima), Fabio Borini (Sunderland, kwa mkopo wa msimu mzima), Daniel Pacheco (AD Alcorcon, ada haijulikani).

10.               MANCHESTER CITY

Waliowasili

Fernandinho (Shakhtar Donetsk, ada Pouni Mil.30), Jesus Navas (Sevilla, ada Pauni Mil. 15), Alvaro Negredo (Sevilla, ada Pauni Mil. 20.6), Stevan Jovetic (Fiorentina, ada Pauni Mil. 25.8), Martin Demichelis (Atletico Madrid, ada Pauni Mil. 3.5)

Walioondoka
Carlos Tevez (Juventus, ada Pauni Mil. 10), Kolo Toure (Liverpool, huru), Wayne Bridge (Reading, huru), Ryan McGivern (Hibernian, huru), Roque Santa Cruz (Malaga, huru), Karim Rekik (PSV, kwa mkopo wa msimu mzima), Jeremy Helan (Sheffield Wednesday, ada haijulikani), Maicon (Roma, huru), Reece Wabara (Doncaster, kwa mkopo wa mwezi mmoja), Scott Sinclair (West Brom, kwa mkopo wa msimu mzima), Denis Suarez (Barcelona, ada Pauni Mil. 1), Abdul Razak (Anzhi, kwa mkopo wa msimu mzima), Harry Bunn (Sheffield United, kwa mkopo), Gareth Barry (Everton, kwa mkopo wa msimu mzima).

11.               MANCHESTER UNITED

Waliowasili
Guillermo Varela (Penarol, ada ya Pauni Mil.1), Marouane Fellaini (Everton, ada ya Pauni Mil.27.5), Fabio Coentrao (Real Madrid, kwa mkopo)

Walioondoka
Paul Scholes (ameachwa), Scott Wootton (Leeds, ada Pauni Mil. 1), Ryan Tunnicliffe (Ipswich, kwa mkopo wa miezi mitano), Frederic Veseli (Ipswich, huru), John Cofie (Barnsley, huru), Reece Brown (Watford, huru), Sean McGinty (Sheffield United, huru), Nick Powell (Wigan, kwa mkopo wa msimu mzima), Bebe (Pacos de Ferreira, kwa mkopo wa msimu mzima).

12.               NEWCASTLE

Waliowasili

Loic Remy (QPR, kwa mkopo wa msimu mzima), Olivier Kemen (Metz, ada haijulikani)

Walioondoka
James Perch (Wigan, ada ya Pauni Mil. 700,000), Danny Simpson (QPR, huru), Steve Harper (Hull, huru), Shane Ferguson (Birmingham, kwa mkopo wa msimu mzima), James Tavernier (Shrewsbury, kwa mkopo wa mwezi mmoja, Mehdi Abeid (Panathinaikos, kwa mkopo wa msimu mzima, Adam Campbell (Carlisle, kwa mkopo wa miezi mitano)

13.               NORWICH

Waliowasili

Ricky van Wolfswinkel (Sporting Lisbon, ada ya Pauni Mil. 8.6), Javier Garrido (Lazio, ada haijulikani), Nathan Redmond (Birmingham), Martin Olsson (Blackburn, ada haijulikani), Carlo Nash (Stoke, huru), Leroy Fer (FC Twente, ada haijulikani), Gary Hooper (Celtic, ada ya Pauni Mil.5), Johan Elmander (Galatasaray, kwa mkopo wa msimu mzima)

Walioondoka

Grant Holt (Wigan, ada ya Pauni Mil.4), James Vaughan (Huddersfield, ada haijulikani), Leon Barnett (Wigan, ada ya Pauni Mil. 500,000), Jed Steer (Aston Villa, huru), Chris Martin (Derby, huru), Marc Tierney (Bolton, huru), Simeon Jackson (Eintracht Braunschweig, huru), Korey Smith (Oldham, huru), Elliott Ward (Bournemouth, huru), Tom Adeyemi (Birmingham, huru), George Francomb (AFC Wimbledon, huru), Lee Camp (ameachwa), Declan Rudd (Preston, kwa mkopo wa msimu mzima), Andrew Surman (Bournemouth, kwa mkopo wa msimu mzima), Lee Camp (West Brom, kwa mkopo wa msimu mzima)

14.               SOUTHAMPTON 

Waliowasili

Dejan Lovren (Lyon, ada ya Pauni Mil.8.5), Victor Wanyama (Celtic, ada ya Pauni Mil.12), Daniel Osvaldo (Roma, ada ya Pauni Mil.15)

Walioondoka

Vegard Forren (Molde, ada haijajulikani), Frazer Richardson (Middlesbrough, huru), Danny Butterfield (Carlisle, huru), Danny Seaborne (Yeovil, huru), Ryan Dickson (Colchester, huru), Ben Reeves (MK Dons, huru), Sam Hoskins (Yeovil, huru), Richard Chaplow (Millwall, huru), Steve De Ridder (FC Utrecht, huru), Jason Puncheon (Crystal Palace, mkopo wa msimu mzima), Emmanuel Mayuka (Sochaux, kwa mkopo wa msimu mzima).

15. STOKE CITY



Waliowasili
Erik Pieters (PSV, ada ya Pauni Mil. 3), Marc Muniesa (Barcelona, huru), Juan Agueldo (New England Revolution, huru)Oussama Assaidi (Liverpool, kwa mkopo wa msimu mzima), Marko Arnautovic (Werder Bremen, ada ya Pauni Mil.4), Stephen Ireland (Aston Villa, kwa mkopo wa msimu mzima).


Waliondoka
Dean Whitehead (Middlesbrough, huru), Carlo Nash (Norwich, huru), Matthew Upson (Brighton, huru), Rory Delap (Burton, huru), Matthew Lund (Rochdale, huru), Mamady Sidibe (CSKA, huru), Michael Owen (ameachwa), Florent Cuvelier (Sheffield United, ada haijulikani)

16. SUNDERLAND

Waliowasili

Modibo Diakite (Lazio, huru), Duncan Watmore (Altrincham, ada haijulikani), Valentin Roberge (Maritimo, huru), Cabral (Basle, huru), David Moberg Karlsson (IFK Gothenburg, huru), Vito Mannone (Arsenal, ada ya Pauni Mil.2), Jozy Altidore (AZ Alkmaar, ada ya Pauni Mil 6), El Hadji Ba (Le Havre, ada haijulikani), Emanuele Giaccherini (Juventus, ada Pauni Mil. 8.6), Ondrej Celustka (Trabzonspor, kwa mkopo wa msimu mzima), Charis Mavrias (Panathinaikos, ada Pauni Mil. 2.5), Ki Sung-yueng (Swansea, kwa mkopo wa msimu mzima), Fabio Borini (Liverpool, kwa mkopo wa msimu mzima), Andrea Dossena (Napoli, kwa mkopo wa msimu mzima).


Walioondoka

Ahmed Elmohamady (Hull, ada Pauni Mil. 2), James McClean (Wigan, ada Pauni Mil. 2), Titus Bramble (ameachwa), Matthew Kilgallon (Blackburn, huru), Ryan Noble (Burnley, huru), Alfred N'Diaye (Eskisehirspor, kwa mkopo wa msimu mzima), Danny Graham (Hull, kwa mkopo wa msimu mzima), Billy Knott (Wycombe, kwa mkopo wa mwezi mmoja), Stephane Sessegnon (West Brom, ada ya Pauni Mil. 6)

17.               SWANSEA


Waliowasili

Wilfried Bony (Vitesse Arnhem, ada ya Pauni Mil. 12), Jose Canas (Real Betis, huru), Jordi Amat (Espanyol, ada ya Pauni Mil. 2.5), Jonathan De Guzman (Villarreal, kwa mkopo wa msimu mzima), Alejandro Pozuelo (Real Betis, ada Pauni Mil. 425,000), Jonjo Shelvey (Liverpool, ada Pauni Mil. 6), Gregor Zabret (NK Domzale, ada haijulikani), Alex Gogic (Olympiacos, huru), Jernade Meade (Arsenal, huru), Alvaro Vazquez (Getafe, kwa mkopo wa msimu mzima).

Walioondoka

Kemy Agustien (Brighton, huru), Mark Gower (Charlton, huru), David Cornell (St Mirren, kwa mkopo wa msimu mzima), Kyle Bartley (Birmingham, kwa mkopo wa msimu mzima), Alan Tate (Yeovil, kwa mkopo wa miezi mitano), Dwight Tiendalli (ameachwa), Ki Sung-yueng (Sunderland, kwa mkopo wa msimu mzima)

18.               TOTTENHAM

Waliowasili

Paulinho (Corinthians, ada Pauni Mil.17m), Nacer Chadli (FC Twente, ada Pauni Mil.6), Roberto Soldado (Valencia, ada Pauni Mil. 26), Etienne Capoue (Toulouse ada Pauni Mil. 8.6), Vlad Chiriches (Steaua Bucharest ada Pauni Mil. 8.5), Erik Lamela (Roma, ada Pauni Mil. 30), Christian Eriksen (Ajax, ada Pauni Mil. 11.5m)

Walioondoka

Steven Caulker (Cardiff, ada ya Pauni Mil.9), Clint Dempsey (Seattle Sounders, ada haijulikani), Tom Huddlestone (Hull, ada ya Pauni Mil.5.25), William Gallas (ameachwa), John Bostock (Royal Antwerp, huru), David Bentley (ameachwa), Jake Nicholson (ameacha), Jake Livermore (Hull, kwa mkopo wa msimu mzima) Massimo Luongo (Swindon, kwa mkopo wa msimu mzima), Adam Smith (Derby, kwa mkopo wa msimu mziam), Ryan Mason (Swindon, kwa mkopo), Bongani Khumalo (Doncaster, kwa mkopo), Alex Pritchard (Swindon, kwa mkopo), Ryan Mason (Swindon, kwa mkopo wa msimu mzima), Grant Hall (Swindon, kwa mkopo wa msimu mzima), Scott Parker (Fulham,ada haijulikani), Iago Falque (Rayo Vallecano, kwa mkopo wa msimu mzima), Gareth Bale (Real Madrid,ada ya Pauni Mil.86), Benoit Assou-Ekotto (QPR, kwa mkopo wa msimu mzima), Tom Carroll (QPR, kwa mkopo wa msimu mzima)

19.               WEST BROMWICH ALBION


Waliowasili

Diego Lugano (PSG, ada haijulikani), Nicolas Anelka (huru), Matej Vydra (Udinese, kwa mkopo wa msimu mzima), Scott Sinclair (Manchester City, kwa mkopo wa msimu mzima), Goran Popov (Dynamo Kiev, kwa mkopo wa msimu mzima), Morgan Amalfitano (Marseille, kwa mkopo wa mzimu mzima), Stephane Sessegnon (Sunderland ada ya Pauni Mil.6), Victor Anichebe (Everton, ada ya Pauni Mil.6).

Walioondoka

Jerome Thomas (Crystal Palace, huru), Gonzalo Jara (Nottingham Forest,huru), Marc-Antoine Fortune (Wigan, huru), Scott Allan (Birmingham,kwa mkopo wa msimu mzima), James Hurst (Crawley, huru), Lee Camp (huru), Peter Odemwingie (Cardiff, ada ya Pauni Mil.2.5).

20.               WEST HAM


Waliowasili

Andy Carroll (Liverpool, ada ya Pauni Mil. 15.5), Stewart Downing (Liverpool, ada ya Pauni Mil.6), Razvan Rat (Shakhtar Donetsk, huru), Adrian (Real Betis, ada haijulikani), Danny Whitehead (Stockport County, ada haijulikani)

Walioondoka
Rob Hall (Bolton, huru), Carlton Cole (ameachwa), Gary O'Neil (QPR, huru)
Read More
Posted in Michezo | No comments
Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ▼  September (9)
      • ABIDAL: BARCELONA HAWAKUNILIPA HATA SENTI TANO MIE...
      • Kikwete, Kagame come face to face in Kampala
      • Weighbridge Operator - (Eight Posts)
      • Administration Officer
      • Sales & Marketing Officer 1 (Four Posts)
      • Wabunge wa Upinzani nchini Kenya wasusia kikao cha...
      • Nani kaingia na nani katoka_Usajili vilabu vya Uin...
      • Tempetation
      • JINSI MABOSI WANAVYOTUMIA VYEO KULAZIMISHA NGONO
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile