MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Saturday, 16 March 2013

Maonyesho ya Kusoma vyuo vya nje yamalizika rasmi

Posted on 06:17 by Unknown
Maonyesho ya kusoma vyuo vya nchi za nje za mataifa ya Ulaya na Asia yalimazika rasmi jana katika ukumbi wa mikutano wa Kivukoni Ballroom katiak hotel ya kitalii ya Serena ya jijin Dar es Salaam. Maonyesho hayo yaliowezeka kukusanya matafia mbalimbali ya mataifa ya umoja wa nchi za Ulaya na Asia yalianza rasmi siku ya Jumatano tarehe 13 na kumalizika rasmi jana yakiwa yanaendeshwa katika mitindo ya maonyesho yakiambatana na mikutano na shuhuda mbalimbali za jinsi wanafunzi mbalimbali walivyoweza kutimiza ndoto za kimasomo ikiwa ni pamoja na kuweza kupata skolashipu za kusoma katika nchi hizo.

Na moja ya challenge zilizoelekezwa kwa watoa mada hizo ni pamoja na umoja wa ulaya kubuni na kufikiria namna gani ya kuzisaidia nchi zinazendelea namna gani watakavyoweza kusisaidia kuweza kutoa elimu bora na kufanya wanafunzi waondokane na fikra za kutaka kwenda nje ili kujipatia elimu bora ili kuepukana na gharama kubwa za masomo na ugumu wa kupata udhamini wa kusaidiwa kusoma (Schorship) kwa ajili ya kwenda kusoma huko.


Zifuatazo ni picha mbalimbali za matukio yaliyowajumuisha washiriki na watoa mada mbalimbali wa vyuo hivyo na  wakilishi wa Erasmus Mundus




















































 
















































































































































































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Education | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Museveni abuses uniform -Besigye
    UGANDA: Museveni abuses uniform -Besigye Former Forum for Democratic Change president Kizza Besigye has responded to a wide range of issues...
  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • RAFA BENITEZ Akalia kuti kavu
    RAFA Benitez kocha wa muda wa Chelsea jana amekiri ya kwamba siku zake zimeshaanza kuhesabika ndani ya timu hiyo kutokana na matokeo mabaya ...
  • Weighbridge Operator - (Eight Posts)
    Weighbridge Operator - (Eight Posts) Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Date Listed: Sep 4, 2013 Phone...
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Administration Officer
    Administration Officer Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority (MUWSA) Date Listed: Sep 5, 2013 Email...
  • Michezo ya Ligi kuu ya Uingereza wikiendi hii katika Picha
    Everton 2 Liverpool 2 Luis Suarez akishangilia goli kwa mtindo wa kuruka mbele ya kocha wa  Everton David Moyes ikiwa kama majibu kulingana ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...
  • Nani kaingia na nani katoka_Usajili vilabu vya Uingereza
    1.    ARSENAL Waliowasili Yaya Sanogo (Auxerre, huru), Mathieu Flamini (AC Milan, huru), Mesut Ozil (Real Madrid, ada ya Pauni Mil. 42.5),...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ▼  March (41)
      • Development Advisor (Governance and Cross Cutting ...
      • Graduate Trainees Oppurtunity
      • Accountants--Vacancy
      • Brazil vs Italy 2-2 All Goals FULL Highlights
      • Mario Balotelli - Crazy Boy
      • Ministers ordered to resign before taking up new jobs
      • Business leaders discuss recipes for job-rich grow...
      • Barclays Bank Tanzania Limited plans to increase i...
      • The East African Round Up
      • Branch Accountant (5 Post)
      • Customs Clearing & Forwarding Services
      • Website Designer
      • Volunteer, Malaria Case Management Analyst
      • Acountant Job Vacancy
      • Mvua yazidi kunyesha Dar
      • ERASMUS for ALL (2014-2020
      • Maonyesho ya Kusoma vyuo vya nje yamalizika rasmi
      • Street kids love sport!, Mwanza, Tanzania - CTBI C...
      • Secondary School Teaching in Tanzania, Tanzania - ...
      • Rio Ferdinand aitwa tena kuichezea timu ya Taifa y...
      • NEW Partnership for Africa’s Development Agency (N...
      • The East African Business Week
      • The East African Round Up
      • My Trip from Kigali, RWANDA
      • Papa Mpya huyu Hapa
      • Wakenya Walivyosherehekea ushindi wa Kenyatta
      • CORD kupinga matokeo ya urais makahamani
      • Uhuru Kenyatta Rais mpya wa Kenya
      • Tamko Kuhusu kuvamiwa na kupigwa kwa Mr. A. Kibanda
      • NIKE Kumrudisha RONALDO Man United kwa ada ya Paun...
      • Hesabu za kura 'zampa ushindi Kenyatta'
      • Fergie: Rooney will not be sold
      • Hali yazidi kuwa tete
      • UN agencies aims to generate new jobs and skills, ...
      • Uhuru Kenyatta mbele kwa hesabu
      • Rais wa Venezuela Hugo Chavez afariki
      • Anunua kwa Tsh milioni 2.5 mali ya Serikali yenye ...
      • Africa Tours Consultant
      • Mvua yazua Hali tete Jijini Dar es Salaam.
      • Country Directors (x6) (in Ethiopia, Malawi, Pakis...
      • Tanzania & Zanzibar Tailor-made Specialist - DCV T...
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile