MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 2 December 2012

Timu ya Beckham yanyanyua tena ubingwa kwa mwaka wa pili mfufulizo!!!

Posted on 01:26 by Unknown
Timu anayochezea aliyekuwa nyota ya Manchester United na baadae Real Madrid na Ac Milan ya Italy na aliepata kuwa nahodha wa timu ya Taifa ya Uingereza David Beckham, Los Angels Galaxy almaarufu kama LA Galxy imefankiwa tena kunyanyua kombe la ligi ya Marekani maarufu kama MLS Cup  kwa mwaka wa pili mfufulizo na hata hivyo huu ndio utakuwa mwaka wa mwisho kwa nyota huyu kucihezea timu hiyo tokea alipojiunga nayo miaka sita iliypita.

Kwa kunyanyuua ubingwa huo timu ya LA Galaxy ilifanikiwa kuifunga  timu ya Houston Dynamo   mabao 3-1 katika fainali iliyochezwa jana usiku katika uwanja wa nyumbani wa LA Galaxy ujulikanao kama Home Depot Center  kwa mabao mawili yaliyopatikana kwa njia ya mikwaju ya penati toka kwa  nahodha wao Landon Donovan na mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ireland na Totenham Hospurs ya Uingereza Robbie Keane.


David Beckham
David Behakam akinyanyua juu kombe la MLS Cup juu mbele ya umati wa mashabiki wao, picha zote kwa  hisani ya mtandao wa www.thesun.co.uk


David Beckham
Beckham akionyesha furaha kutokana na kunyakua kombe kwa mara ya pili mfufulizo




David Beckham
Beckham akiwapungia mashabiki wake katika kusherehekea ushindi wao









David Beckham
Beckhama akiwa katika moja ya hekaheka za uwanjani katika mchezo wao na Houston Dynamo




David Beckham
Beckham akizeeka na uhodari wake wa kupiga mipira iliyokufa maarufu kama Free Kicks


























































































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Sport | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Administration Officer
    Administration Officer Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority (MUWSA) Date Listed: Sep 5, 2013 Email...
  • RAFA BENITEZ Akalia kuti kavu
    RAFA Benitez kocha wa muda wa Chelsea jana amekiri ya kwamba siku zake zimeshaanza kuhesabika ndani ya timu hiyo kutokana na matokeo mabaya ...
  • Michezo ya Ligi kuu ya Uingereza wikiendi hii katika Picha
    Everton 2 Liverpool 2 Luis Suarez akishangilia goli kwa mtindo wa kuruka mbele ya kocha wa  Everton David Moyes ikiwa kama majibu kulingana ...
  • Website Designer
    Website Designer House of Graphics Date Listed: Mar 8, 2013 Email Address: Click to Email Phone: P...
  • Weighbridge Operator - (Eight Posts)
    Weighbridge Operator - (Eight Posts) Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Date Listed: Sep 4, 2013 Phone...
  • Administrative Assistant, Family Medicine Entity
    Administrative Assistant, Family Medicine Entity The Aga Khan University Date Listed: Apr 18, 2013 E...
  • Monetary Boards in collaboration to support development and growth.
    Leaders of the African Development Bank, European Bank for Reconstruction and Development, Inter-American Development Bank, International Mo...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ►  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ▼  2012 (162)
    • ▼  December (42)
      • Reduce burden on workers
      • Challenges facing small holder farmers in Mvomero ...
      • Wakurugenzi wengine 16 wa Bandari wasimamishwa kazi
      • Fight against Ebola in SADC and East African Region
      • leave the issue of tax administration in the hands...
      • The increasing challenge on human trafficking and ...
      • Manchester United’s Christmas bash....
      • Pembe, Meno ya tembo ni biashara ya nani?
      • BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kudhamini Vijana...
      • NBC VOWS ETERNAL LOVE TO SMEs
      • "FAIR SHARES FOR WORKERS IS THE CRY"
      • GOVERNMENT TO ESTABLISH YOUTH BANK .
      • Government has set Tshs 1.5 Billion for Youth.
      • DCB has opened more two Branches in Dar es Salaam.
      • Robin van Persie Amazing Free Kick Goal Manchester...
      • Job Description: Manager, Policy & Partnership
      • BEN ARFA AMAZING GOAL Fulham (2-1) Newcastle Unite...
      • Man with 'bionic' leg to climb 103 Floors of Chica...
      • Football's Greatest - Gerhard "Gerd" Müller (2010)...
      • Pamoja na ukali wake huyu dogo alikuwa analipwa T ...
      • Project Leader - Serengeti National Park, Tanzania
      • 1st Line Support Engineer-Vacancy
      • The East African's News Round Up
      • SPOTLIGHT ON CHILDREN'S NEEDS
      • Barclays Bank Tanzania has Announced winner of the...
      • How to generates great wealth!!!
      • Tumetoka mbali na simu za mikononi...
      • Arsene Wenger aomba dua la kutokupangwa na Barcelona
      • Pesa si ushindi, Man City yadunda hata kutinga Eu...
      • Research Consultant (International Development Res...
      • Master Jury Announced for 2013 Aga Khan Award for ...
      • Jose Mourinho anaweza kuingoza Manchester United
      • Commonwealth Distance Learning Scholarships 2012-2...
      • FIND your scholarships and grants to study in Europe!
      • Introduction to DAAD Scholarships
      • DAAD-Undergraduate Scholarship
      • Scholarship Program
      • News in brief.....Habari Mchanganyiko
      • Ratiba ya kombe la FA mzunguko wa Tatu yatoka
      • Matokeo ya Michezo ya Premier Ligi katika picha mi...
      • RAFA BENITEZ Akalia kuti kavu
      • Timu ya Beckham yanyanyua tena ubingwa kwa mwaka w...
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile