MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Friday, 28 June 2013

Mo mjasirimali kijana mwenye mafanikio ya kipekee katika bara la Afrika

Posted on 08:21 by Unknown

Mo mjasirimali kijana mwenye mafanikio ya kipekee katika bara la Afrika 
942331_578714148840668_773339795_n

.Awa Mtanzania wa Kwanza kutambulika na Jarida la kimataifa la Forbes Afrika 


Na Mwandishi Wetu 

Mjasirimali mchapakazi na Mbunge Kijana nchini Tanzania, Mohammed Dewji (MO) ametajwa katika jarida la Kimataifa la mabilionea duniani katika Nyanja za biashara (Forbes Africa Magazine) kama mjasirimali mwenye umri mdogo mwenye mafanikio ya kuigwa hapa Afrika na duniani kwa ujumla taarifa la Jarida hilo limeeleza.


Kwa mujibu wa taarifa hizo toka kwa Jarida hilo la Forbes African Magazine linasema amekuwa Mtanzania wa Kwanza kupata kuhojiwa na (Forbes Magazine) mafaniko, changamoto na matatizo kadhaa kwenye uwanja wa biashara kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki na kati.


Mo akihojiwa na Jarida hilo alisema toka kwenye masaa mia moja kwa wiki na kutengeneza faida ya Millioni 85 dola za kimarekani! Ni mafanikio makubwa katika biashara Afrika.


Anasema ni safari ya takribani miaka 12 ya ushindani wa kibiashara ndani ya mipaka ya Tanzania na Afrika kwa ujumla.

“Nani anaweza kufikiri kwamba tunaweza kubadilisha biashara yetu toka Millioni 50 za kimarekani hadi dola Billioni 2.1 ndani ya miaka 12 tu,’ alinukuliwa akisema.


Mwisho.

Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Jamii | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ▼  June (27)
      • Mo mjasirimali kijana mwenye mafanikio ya kipekee ...
      • RYDER CALLS FOR FORWARD-LOOKING EXAMINATION OF THE...
      • Over 1,300 orphaned now they can smile!!!
      • I’ve Had Sex With 370 Men Says Seyi Kolade
      • Tanzania's First Food Fair & Festival 2013
      • Obama heads to South Africa as ailing Nelson Mande...
      • In South Africa, song and prayer for Mandela on ev...
      • PICHA MBALI MBALI YA KILICHOJIRI HUKO SENEGAL KATI...
      • Client Service
      • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis...
      • Computer System Analyst Grade I - Database Adminis...
      • Sales personnel
      • Office Management Secretary II – One Post - (Re ad...
      • Assistant Fitter Turner – One Post - (Re advertised
      • Madege 8 ya Obama yatua Dar
      • Barack Obama arrives in Senegal for start of Afric...
      • Model atembea mjini, apanda treni uchi wa mnyama
      • Highways Resident Engineer - Tanzania
      • Rais George W. Bush kuhutubia wake wa Marais wa Af...
      • Operations Controller role in Tanzania
      • Mourinho kurudi Old Trafford Tarehe 24 Agosti
      • Carry U-Union J
      • World Tourism Day 2013 - promoting tourism’s role ...
      • LADY JAY DEE 13 ANNIVERSARY IN MUSIC LIVE SHOW @ N...
      • Kitengo cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UCC) nch...
      • PhD Studentship
      • Resident Engineer - Roads / Infrastructure - Tanzania
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile