MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Thursday, 27 June 2013

Model atembea mjini, apanda treni uchi wa mnyama

Posted on 00:43 by Unknown
Model atoka nyumbani kwake, aenda kituo cha treni na kupanda treni kwenda kazini akiwa uchi wa mnyama.
Sehemu ambazo angekua na nguo, badala yake ameandika maneno, “shirt”, “jacket” “bra” n.k.
Tukio hilo limetokea katika mji wa Dusseldorf, Ujerumani.

Wasafiri wa treni waliopigwa na butwaa walimkodolea macho msichana huyo akionyesha umbo lake la kuvutia akiwa uchi wa mnyama (bila shaka baadhi walijifanya wanashangaa huku kimoyomoyo wanafurahia na raha zao.)

Hata hivyo, baadhi ya abiria walikua wamepoa utadhani hakuna kitu chochote kisicho cha kawaida kikiendelea. Waliendelea na safari yao bila kushangaa wala kumkodolea macho.

Safari ya model huyo ya uchi ni mojawapo ya project iliyoandaliwa na msanii kutoka Uswizi anayeitwa Milo Moire.

Sehemu ya project hiyo ni tendo alilofanya model huyo la kwenda kazini uchi, ambalo walilipa jina, “Shaking up the ordinary.”

Milo moire amesema model huyo kutembea uchi mjini ilikua na dhumuni la kuwafanya watu wa “think outside the box.”
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Jobs | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ▼  June (27)
      • Mo mjasirimali kijana mwenye mafanikio ya kipekee ...
      • RYDER CALLS FOR FORWARD-LOOKING EXAMINATION OF THE...
      • Over 1,300 orphaned now they can smile!!!
      • I’ve Had Sex With 370 Men Says Seyi Kolade
      • Tanzania's First Food Fair & Festival 2013
      • Obama heads to South Africa as ailing Nelson Mande...
      • In South Africa, song and prayer for Mandela on ev...
      • PICHA MBALI MBALI YA KILICHOJIRI HUKO SENEGAL KATI...
      • Client Service
      • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis...
      • Computer System Analyst Grade I - Database Adminis...
      • Sales personnel
      • Office Management Secretary II – One Post - (Re ad...
      • Assistant Fitter Turner – One Post - (Re advertised
      • Madege 8 ya Obama yatua Dar
      • Barack Obama arrives in Senegal for start of Afric...
      • Model atembea mjini, apanda treni uchi wa mnyama
      • Highways Resident Engineer - Tanzania
      • Rais George W. Bush kuhutubia wake wa Marais wa Af...
      • Operations Controller role in Tanzania
      • Mourinho kurudi Old Trafford Tarehe 24 Agosti
      • Carry U-Union J
      • World Tourism Day 2013 - promoting tourism’s role ...
      • LADY JAY DEE 13 ANNIVERSARY IN MUSIC LIVE SHOW @ N...
      • Kitengo cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UCC) nch...
      • PhD Studentship
      • Resident Engineer - Roads / Infrastructure - Tanzania
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile