MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Saturday, 7 September 2013

ABIDAL: BARCELONA HAWAKUNILIPA HATA SENTI TANO MIEZI YOTE NILIYOKUWA NAUMWA

Posted on 01:15 by Unknown
Eric Abidal amekasirishwa na namna maisha yake ya soka ndani ya Barcelona yalivyoisha na kusema kwamba hakulipwa chochote na klabu hiyo wakati wote alipokuwa akiugua.

Beki huyo mwenye miaka 34 alifanyiwa upasuaji wa kuwekewa ini jipya mnamo mwezi April mwaka jana, kumfanya akose michuano ya Euro na kumuweka nje ya soka kwa muda wa mwaka mmoja. Airudi kuichezea Barcelona kwenye mechi kadhaa kabla ya kuondokakujiunga na Monaco.
"Tatizo lilikuwa kwamba mkataba wangu ulikuwa unaenda mwishoni. Kwa maana hiyo ilikuwa aidha niongeze au uishe. Nilijiandaa kwa vyote," Abidal alisema katika interview aliyofanya na sports daily L'Equipe ya leo Ijumaa. "Ilikuwa ni vigumu kukubali lakini siku na jinsi. Maisha yangu ndani ya Barcelona yalikuwa yamefikia mwisho, lakini nina furaha nimeanza maisha mapya na Monaco."
Lakini Abidal amesema alikerwa na kusikitishwa namna kuondoka kwake kulivyotangazwa.
"Kitu kigumu kuelewa kilikuwa walichosema Barcelona katika mkutano wangu wa mwisho wa waandishi wa habari. Kwa kusema uamuzi ule ulitokana na sababu za kiuledi zaidi, ulivifanya vilabu vingine viwe na mashaka," Abidal alisema. "Haikuwa hata suala la fedha. Na ushahidi upo wazi kwamba miezi yote niliyokuwa kitandani naumwa, klabu haikunilipa chochote. Sasa nina bahati Monaco wameniamini - Kocha na Raisi wote wana imani juu yangu."
Abidal amecheza kwa dakika 90 katika kila mchezo wa ligi na  anategemewa kuichezea Ufaransa katika mechi ya kugombea nafasi za kucheza kombe la dunia dhidi yat Georgia.
 
Chanzo cha habari www.shaffihdauda.com
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Michezo | No comments
Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ▼  September (9)
      • ABIDAL: BARCELONA HAWAKUNILIPA HATA SENTI TANO MIE...
      • Kikwete, Kagame come face to face in Kampala
      • Weighbridge Operator - (Eight Posts)
      • Administration Officer
      • Sales & Marketing Officer 1 (Four Posts)
      • Wabunge wa Upinzani nchini Kenya wasusia kikao cha...
      • Nani kaingia na nani katoka_Usajili vilabu vya Uin...
      • Tempetation
      • JINSI MABOSI WANAVYOTUMIA VYEO KULAZIMISHA NGONO
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile