MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Wednesday, 30 January 2013

Mario azua fujo mjini Milan

Posted on 20:33 by Unknown
Polisi wa mjini Milani walililazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya mashabiki waliokuwa wanasherekea kwa pamoja na Mchezaji mpya aliyejiunga na timu ya Ac Milan, Mario Balotelli.

Fujo hizo zilianzia kwenye mgahawa wa alipokuwa anakula Mario pamoja na viongozi wa klabu hiyo na mashabikki walikuwa wamezunguka nje na mara tuu ya kutoka nje Mario akiwa ameambatana na mwenyekiti wa Ac Milan,  Adriano Galliani walipotoka nje na kujiunga nao na kuanza kuimba wimbo ujulikanao kama"“He who doesn’t jump is nerazzurro," ukiwa kama kebehi kwa majiani zao wa Inter Milani.

Itakumbukwa watani wakuu wa Ac Milan ni Inter Milan na wana utani mkubwa kama ulivyo wa klabu kongwe za hapa nchini za Yanga na Simba.


Mario Balotelli with fans
Mchezaji mwenye vituko nMario Balotelli akiwa pamoja na mashabiki wa timu yake mpya ya Ac Milan.
















































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in sports | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ▼  January (14)
      • The government has assured women entrepreneurs
      • Tanzania Emerged in top Ten for Ibrahim Index Afri...
      • Dirisha Dogo la Usajili lafungwa Rasmi....Pata Kuj...
      • Sauti za Busara kuanza Valentine Day
      • “Doing Business and Measuring Business Regulations...
      • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
      • Post: Part-time journalist
      • Mario azua fujo mjini Milan
      • Vikao vya Mtwara: Viongozi wa Dini, Jamii watoa do...
      • Balotelli says Goodbye
      • MSAMAHA
      • Makampuni ya Oman yatangaza kuwekeza ATCL bilioni 160
      • Oil & Gas, HSE Supervisor, Tanzania
      • I Am In Love by The Ben
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile