MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 5 March 2013

Anunua kwa Tsh milioni 2.5 mali ya Serikali yenye thamani ya milioni 300/= .

Posted on 07:21 by Unknown
Picture
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balopzi Seif Iddi, akiangalia waya wa umeme aina ya shaba ambao amezuia mauzo yake hadi uongozi wa kiwanda cha sukari utapokaa pamoja na Wizara ya fedha kufikia maamuzi, kutokana na waya huo kuuzwa chini ya thamani na baadhi ya maafisa wa Serikali. Thamani halisi ya waya huo inakadiriwa kuwa ni Tsh 300 millioni lakini umeuzwa kwa Tsh 2.5 millioni tu.
Tukio hilo limebainika mara baada ya Makamu huyo kutembelea kwenye kiwanda cha Sukari kilichopo Mahonda mjini Zanzibar na kuzungumza na uongozi wa kiwanda hicho ambacho kiliuziwa waya huo kwa bei ya chee.

Balozi Seif alisema zipo hitilafu zinazotumiwa na baadhi ya maafisa wa Serikali katika mauzo ya mali za Serikali na matokeo yake kusababisha kuitia hasara kubwa Serikali Kuu.

Amesema mali za Serikali zimekuwa zikinunuliwa kwa gharama kubwa lakini uuzwaji wake baada ya matumizi hayalingani na thamani ya mali zenyewe jambo ambalo hutoa mwanya kwa mali hizo kuuzwa kwa bei ya chini kabisa.

“Utashangaa kuona mali za Serikali hununuliwa kwa gharama kubwa lakini baadhi ya maafisa na watendaji wa serikali hutumia mwanya wa kujenga hoja ya kuuzwa mali hizo kwa kisingizio cha kuchakaa na badala yake baadhi yao kujiuzia wenyewe kwa bei wanayoitaka wao wenyewe bila ya kuzingatia taratibu zilizopo za tenda na mnada”. alionya Balozi Seif.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliuagiza Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo kukaa pamoja na Uongozi wa Kiwanda cha Sukari kuangalia nanma ya matumizi ya waya huo ambao ulikuwa ukitumiwa na Kiwanda hicho.

Waya huo ulilazimika kufukuliwa na Uongozi wa Kiwanda hicho baada ya kubainika kuanza kuhujumiwa kwa kukatwa katwa na baadhi ya wezi kufuatia kutambulikana thamani yake katika masoko ya Kimataifa.   

Mapema Mshauri wa Kiwanda cha Sukari Mahonda, Dk Hamza Hussein Sabri alisema Zanzibar inatarajiwa kujitosheleza kwa sukari ifikapo mwishoni mwa mwezi Oktoba mwaka huu kufuatia uongozi wa kiwanda cha sukari cha Mahonda kufanikiwa kupata washirika zaidi katika kuongeza nguvu ya kuanza uzalishaji wa bidhaa hiyo muhimu kwa jamii.

Source: www.wavuti.comhttp://www.wavuti.com/#axzz2MgA1xDsC
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Latest Sports News | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ▼  March (41)
      • Development Advisor (Governance and Cross Cutting ...
      • Graduate Trainees Oppurtunity
      • Accountants--Vacancy
      • Brazil vs Italy 2-2 All Goals FULL Highlights
      • Mario Balotelli - Crazy Boy
      • Ministers ordered to resign before taking up new jobs
      • Business leaders discuss recipes for job-rich grow...
      • Barclays Bank Tanzania Limited plans to increase i...
      • The East African Round Up
      • Branch Accountant (5 Post)
      • Customs Clearing & Forwarding Services
      • Website Designer
      • Volunteer, Malaria Case Management Analyst
      • Acountant Job Vacancy
      • Mvua yazidi kunyesha Dar
      • ERASMUS for ALL (2014-2020
      • Maonyesho ya Kusoma vyuo vya nje yamalizika rasmi
      • Street kids love sport!, Mwanza, Tanzania - CTBI C...
      • Secondary School Teaching in Tanzania, Tanzania - ...
      • Rio Ferdinand aitwa tena kuichezea timu ya Taifa y...
      • NEW Partnership for Africa’s Development Agency (N...
      • The East African Business Week
      • The East African Round Up
      • My Trip from Kigali, RWANDA
      • Papa Mpya huyu Hapa
      • Wakenya Walivyosherehekea ushindi wa Kenyatta
      • CORD kupinga matokeo ya urais makahamani
      • Uhuru Kenyatta Rais mpya wa Kenya
      • Tamko Kuhusu kuvamiwa na kupigwa kwa Mr. A. Kibanda
      • NIKE Kumrudisha RONALDO Man United kwa ada ya Paun...
      • Hesabu za kura 'zampa ushindi Kenyatta'
      • Fergie: Rooney will not be sold
      • Hali yazidi kuwa tete
      • UN agencies aims to generate new jobs and skills, ...
      • Uhuru Kenyatta mbele kwa hesabu
      • Rais wa Venezuela Hugo Chavez afariki
      • Anunua kwa Tsh milioni 2.5 mali ya Serikali yenye ...
      • Africa Tours Consultant
      • Mvua yazua Hali tete Jijini Dar es Salaam.
      • Country Directors (x6) (in Ethiopia, Malawi, Pakis...
      • Tanzania & Zanzibar Tailor-made Specialist - DCV T...
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile