MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 5 March 2013

Uhuru Kenyatta mbele kwa hesabu

Posted on 23:58 by Unknown
Baada ya siku ndefu ya watu kupiga kura nchini Kenya, wengi wana hamu kujua rasmi mshindi wa uchaguzi wa urais. Hata hivyo matokeo ya mwanzo yameanza kutolewa na tume ya uchaguzi na mipaka Kenya, IEBC.
Matokeo hadi kufikia saa kumi na mbili jioni yalikuwa yanaonyesha Uhuru Kenyatta akiongoza dhidi ya mpinzani wake Raila Odinga. Matokeo kutoka sehemu mbali mbali yalichelewa hasa kwa sababu ya hitilafu za kimitambo.

Na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa. Endelea kutoa maoni yako kwenye ukurasa wetu wa Bofya Facebook, Bofya bbcswahili

17:31Ng'endo Angela aliye katika eneo bunge la Othaya anasema kuwa Mary Wambui amemrithi rais mstaafu Mwai Kibaki kama mbunge wa eneo bunge la Othaya baada ya miaka 39 ya Kibaki kuwa mbunge wa eneo hilo. Kibaki alikuwa amempendeka Mugambi Manyara kuwa mrithi wake, lakini ameshikilia nafasi ya tatu 

17:29 Matokeo ya mwanzo mwanzo ya kura za urais yaliyotolewa sasa hivi kutoka kwa tume ya uchaguzi yanaonyesha kuwa Raila Odinga ana kura 2,133,202 wakati Uhuru Kenyatta ana kura 2, 718,021 

17:05 Kwa sasa Raila Odinga ana kura 2, 107, 670 wakati Uhuru Kenyatta akiwa na kura 2,697,056

17:02 Vigogo wa Muungano wa CORD wake Raila Odinga wamesema kuwa licha ya matokeo kuonyesha bado wako nyuma, wafuasi wao wasiwe na wasiwasi kwani kura nyingi zingali kuhesabiwa. Mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka amewaambia wapiga kura kupitia televisheni kuwa wawe watulivu wasubiri matokeo kutoka kwa tume ya uchaguzi 

15:00 Matokeo kufikia sasa ni kwamba Uhuru Kenyatta amepata kura 2,606,617 wakati Raila odinga ana kura 2,011,869

14:31 Hadi kufikia sasa kulingana na matokeo yanayotolewa na Tume huru ya uchaguzi Kenya ni kuwa Uhuru Kenyatta amepata kura 2,534 019 wakati Raila Odinga akiwa na kura 1,939,549. Haya ni matokeo ya mapema tu

13:05 Abdulkarim Taraja akiwa Mt Elgon, anasema kwenye Bofya facebook kuwa anafurahi ambavyo wanaoshindwa wanakubali matokeo ya kura katika eneo hilo

12:59 Blessed Kuriah anasema kwenye ukurasa wa Bofya facebook, Bofya bbcswahili, kuwa hali ni tulivu katika eneo bunge la Gatundu Mkoa wa Kati

12:57 Uhuru Kenyatta 2,484,760 Raila Odinga 1,884,152

12:46 Mwandishi wetu Jamuhuri Mwavyombo akiwa mjini Mombasa anasema mji umetulia, maduka mengi yangali yamefungwa watu wakiwa na wasiwasi kuangalia hali itakavyokuwa

12:37 Uhuru Kenyatta 2,459,133 Raila Odinga 1,851, 671

12:24 Idadi ya kura kwa wagombea wakuu wa urais Uhuru Kenyatta 2,429,895 Raila Odinga 1,823,384 

12:21 Mwandishi wa BBC Ng'endo Angela ambaye yuko katike eneo bunge la Othaya, Mkoa wa kati, shughuli ya kuhesabu kura inarejelewa upya, baada ya mmoja wa wagombea kutaka hilo lifanyike kufuatia madai ya wizi wa kura. Eneo hilo lina ushindani mkubwa ikizingatiwa lilikuwa eneo bunge la Rais anayestaafu Mwai Kibaki na alikuwa amependekeza mmoja wa wagombea kupigiwa kura na watu wa eneo hilo 

Habri kwa msaada wa mtandano wa  BBC SWAHILI
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in East Africa News | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ▼  March (41)
      • Development Advisor (Governance and Cross Cutting ...
      • Graduate Trainees Oppurtunity
      • Accountants--Vacancy
      • Brazil vs Italy 2-2 All Goals FULL Highlights
      • Mario Balotelli - Crazy Boy
      • Ministers ordered to resign before taking up new jobs
      • Business leaders discuss recipes for job-rich grow...
      • Barclays Bank Tanzania Limited plans to increase i...
      • The East African Round Up
      • Branch Accountant (5 Post)
      • Customs Clearing & Forwarding Services
      • Website Designer
      • Volunteer, Malaria Case Management Analyst
      • Acountant Job Vacancy
      • Mvua yazidi kunyesha Dar
      • ERASMUS for ALL (2014-2020
      • Maonyesho ya Kusoma vyuo vya nje yamalizika rasmi
      • Street kids love sport!, Mwanza, Tanzania - CTBI C...
      • Secondary School Teaching in Tanzania, Tanzania - ...
      • Rio Ferdinand aitwa tena kuichezea timu ya Taifa y...
      • NEW Partnership for Africa’s Development Agency (N...
      • The East African Business Week
      • The East African Round Up
      • My Trip from Kigali, RWANDA
      • Papa Mpya huyu Hapa
      • Wakenya Walivyosherehekea ushindi wa Kenyatta
      • CORD kupinga matokeo ya urais makahamani
      • Uhuru Kenyatta Rais mpya wa Kenya
      • Tamko Kuhusu kuvamiwa na kupigwa kwa Mr. A. Kibanda
      • NIKE Kumrudisha RONALDO Man United kwa ada ya Paun...
      • Hesabu za kura 'zampa ushindi Kenyatta'
      • Fergie: Rooney will not be sold
      • Hali yazidi kuwa tete
      • UN agencies aims to generate new jobs and skills, ...
      • Uhuru Kenyatta mbele kwa hesabu
      • Rais wa Venezuela Hugo Chavez afariki
      • Anunua kwa Tsh milioni 2.5 mali ya Serikali yenye ...
      • Africa Tours Consultant
      • Mvua yazua Hali tete Jijini Dar es Salaam.
      • Country Directors (x6) (in Ethiopia, Malawi, Pakis...
      • Tanzania & Zanzibar Tailor-made Specialist - DCV T...
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile