MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Friday, 8 February 2013

Baada ya Jamie Caragger kutundika Daluga...wajue wengine waliodumu pia kwa muda na timu zao

Posted on 07:07 by Unknown
Jamie Caragger beki mahiri wa Liverpool na timu ya Taifa ya Uingereza alizaliwa tarehe 28 January mnamo mwaka 1978 na amedumu ndani ya kikosi cha timu hiyo kwa miaka 17 akiwa kama mmoja wa wachezaji wakongwe na waliodumu na timu hiyo kwa muda mrefu kuliko wote waliokwisha wahi kuichezea timu hiyo yenye ushindani mkubwa na timu ya Manchester United.

Majuzi mchezaji huyo alitangaza ya kuwa mwishoni mwa msimu huu ndio utakuwa mwisho wake wa kukichezea kikosi hicho, Caragger ambaye pia ametumikia pia nafasi ya nahodha msaidizi tangia mwaka 2003.

Zaidi ya Jamie Caragger wafutayo pia ni baadhi ya wachezaji waliowahi au bado wanazitumikia klabu zao zaidi ya miaaka mitano.

10. Darren Fletcher

Manchester United, 2002-present ( Miaka 11 na ...)

GREAT SCOT ... Darren Fletcher made his Manchester United debut in 2002
 Darren Fletcher alianza kuichezea s Manchester United kuanzia mwaka 2002

9. Gary Kelly

Leeds United, 1991-2007 (Miaka 16)

HARD LUCK OF THE IRISH ... Kelly went from Champions League football to Championship
Kelly

8. Ledley King

Tottenham, 1998-2012 (Miaka 14)

THE KING ... Tottenham ace Ledley in action before injury forced his retirement
 Ledley King akiwa kazini kabla ya majeruhi kufupisha safari ya ya uchezaji

7. Jamie Carragher

Liverpool, 1996-present (Miaka 17)
.
I WON'T CARRA ON ... Jamie Carragher announced his retirement yesterday
 Jamie Carragher ametangaza kujiuzulu mwishoni mwa msimu huu

6. Gary Neville

Manchester United, 1992-2011 (Miaka 19)
.
LIONHEART ... Neville is now a coach in the England set-up after 85 caps as a player
LIONHEART ... Neville is now a coach in the England set-up after 85 caps as a player

5. Tony Adams

Arsenal, 1983-2002 ( Miaka 19)

MR ARSENAL .. Tony Adams with Lee Dixon after Arsenal won the Premier League title
Tony Adams akiwa na  Lee Dixon mara baada ya The  Gunners kushinda kombe la ligi kuu

4. Paul Scholes

Manchester United, 1994-present ( Miaka 19)

IN FOR THE LONG PAUL ... United legend Scholes against former team-mate Carlos Tevez
Paul Scholes

3. Steven Gerrard

Liverpool, 1998-present ( Miaka 19 na..)

CAPTAIN FANTASTIC ... Liverpool hero Steven Gerrard celebrates yet another stunning strike

2. Matt Le Tissier

Southampton, 1986-2002 (Miaka  18)

SAINT NOT A SINNER ... Matt Le Tissier is a Southampton legend but only got eight England caps
 Matt Le Tissier

1. Ryan Giggs

Manchester United, 1990-present (Miaka 23 na..)

GOLDEN OLDIE ... Ryan Giggs, here with Wayne Rooney, is still going strong at United Ryan Giggs akiwa na  Wayne Rooney,  amechezea Manchester United miaka 23 na bado anaendelea































































































































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in sports | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Administration Officer
    Administration Officer Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority (MUWSA) Date Listed: Sep 5, 2013 Email...
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • RAFA BENITEZ Akalia kuti kavu
    RAFA Benitez kocha wa muda wa Chelsea jana amekiri ya kwamba siku zake zimeshaanza kuhesabika ndani ya timu hiyo kutokana na matokeo mabaya ...
  • Michezo ya Ligi kuu ya Uingereza wikiendi hii katika Picha
    Everton 2 Liverpool 2 Luis Suarez akishangilia goli kwa mtindo wa kuruka mbele ya kocha wa  Everton David Moyes ikiwa kama majibu kulingana ...
  • Website Designer
    Website Designer House of Graphics Date Listed: Mar 8, 2013 Email Address: Click to Email Phone: P...
  • Monetary Boards in collaboration to support development and growth.
    Leaders of the African Development Bank, European Bank for Reconstruction and Development, Inter-American Development Bank, International Mo...
  • VIDEO: Obama dancing along to Tanzania’s brass dancers
  • Weighbridge Operator - (Eight Posts)
    Weighbridge Operator - (Eight Posts) Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Date Listed: Sep 4, 2013 Phone...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ▼  February (59)
      • Fergie: Let me move upstairs
      • NBC APPOINTS NEW MANAGING DIRECTOR
      • Tanzania Portland Cement launches new expansion fo...
      • Kenya boy, 13, gains fame for protecting livestock...
      • Do not fight over land, says National Lands Commis...
      • Monetary Boards in collaboration to support develo...
      • Rais Kikwete akagua Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano w...
      • ‘Kitanda kimoja wanalazwa watoto 4, mliyoikuta leo...
      • Heart suggery in Tanzania coming Soon...
      • Je huu ndio mwisho wa Ufalme wa Barcelona???
      • Accounts Receivables Manager
      • 2. Chief Operational Officer
      • Youth Civic Engagement Assistant Project Coordinat...
      • Customer Services / Marketing Administrator ? Clot...
      • Kesi dhidi ya Sh. Ponda: Serikali yafunga ushahidi.
      • Gareth Bale Goals 2012/2013
      • Are Spurs a one-man team?
      • Mancini zaidi ya Benitez, Swansea yafanya mauji ko...
      • Beckaham zaidi ya Joe Barton Ufaransa
      • Rafael amazing goal vs QPR 2013 & Man united vs Qpr
      • Ajali mbaya ya mashindano ya Magari yajeruhi watu 33
      • Mil 142/= zapatikana Mama Salma akiongoza hafla ku...
      • Yanga Yaididimiza Azam, Manchester yaendelea kupaa!!!
      • Accountant for Charity
      • Volunteer Accountant for Charity
      • Vibwanga vya Masta wa majuu katika picha
      • Africa Specialist Tailormade Travel Consultant - C...
      • Barcelona Chaliiiii mbele ya Ac Milan
      • The growth rate of world manufacturing output rema...
      • A major progress has been made on the fight agains...
      • Vibwanga vya Mastaa wa Majuu
      • Wanafunzi wajiua kwa kufeli mtihani wa Kidato cha ...
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • Supermario Balotelli
      • Taarifa ya Katibu wa Bunge.
      • Post: Part-time journalist
      • Oscar Pistorius arrested over fatal shooting
      • Huyu ndiye Mrembo aliyeuawa na Bingwa wa Olympic y...
      • Museveni abuses uniform -Besigye
      • 2 *PhD* Positions in Programming Language-based Se...
      • Job Advert--BBC Worldwide Limited.
      • Analyst/Economist Vacancy
      • Tahadhari kuhusu kupandishwa vyeo kupitia ujumbe w...
      • Digitali yavunja ndoa za watu uswahilini
      • Pope Benedict will Resigns on February 28th, 2013
      • Michezo mbalimbali ya mwishoni mwa wiki! katika Pi...
      • Nigeria Mabingwa wapya wa Africa 2013
      • Baada ya Jamie Caragger kutundika Daluga...wajue w...
      • Master in Leading Innovation and Change from York ...
      • Vibwanga vya mastaaa wa majuu
      • Mwanafunzi wa miaka 9 mbaroni kwa kumwibia mwallim...
      • Drogba 's reaction after papis cisses goal
      • Heavy Equipment Engineers
      • Tanzania 1 Cameroon 0
      • FNB Celebrated one Year in Tanzania
      • TPA and Mombasa Porty Authorithy on mission to cur...
      • Mario Balotelli anza kungaa Italia
      • Maandalizi ya Super Bowl Sunday Yapamba moto
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile