MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 24 February 2013

Mancini zaidi ya Benitez, Swansea yafanya mauji kombe la Ligi

Posted on 20:51 by Unknown
Roberto Manchini, kocha wa Manchester City jana alihidhiisha ya kuwa yeye ni bora zaidi ya Rafael Beitez mara baada ya kuiongoza timu yake kutoka na ushindi mnono wa mabo 2-0 dhidi ya timu ya Chelsea.

Alikuwa ni mchezaji bora wa Africa, Yaya Toure ambaye alipata mpira katika eneo la hatari katika dakika ya 63 na kuwapiga chenga mabeki kama watatu hivi na kumchungulia kipa Peter Czech alivyokaa na kuupeleka mpira upande wa kushoto na kumwacha akigaa chini pasipo mafanikio kabala ya Carlos Tevez kumalizia msumari wa mwisho katika dakika ya 85.

Nayo timu ya Swansea jana ili endelea kujiandikia historia  mpya ikiwa kama  timu ya kwanza toka Wales kushirikia ligi kuu ya Uingereza, Premier League jana ilienda mbali zaidi ikijiandikia historia nyingine kwa kuwa timu ya kwanza kunyakua kombe la Ligi baada ya kuinyanyasa vilivyo timu ya daraja la pili ya Bradford City. Itakumbukwa Bradford ilifanikiwa kucheza fainali za kombe hilo mara baada ya kuviondosha timu vigogo vya ligi kuu kama vile Aston Villa, Arsenal na Wigan.

Alikuwa ni winga machachari wa timu hiyo Nathan Dyer na Jonathan De Guzman waliyopeleka kilio Bradford mara kila moja wao kufunga mabao mawili katika mchezo huo uliochezwa katika Uwanja wa Wembely na mchezaji mwenye uchu wa kufunga Michu kumalizia msumari wa magoli na kuisasambua timu hiyo kwa jumla ya magoli 5-0 na kuhudhuiriwa na watazamaji wapatao takrinbani 82,597.

Itakumbukwa Swansea haijawi kunyanyua kombe lolote lile kwa takribani ya miaka 101 na hiyo itakuwa ni furaha na historia kubwa kwao kwani mara baada ya kunyakua kiombe hio pia wamepata nafasi ya kushiriki kombe la Europa msimu ujao.

Dosari kubwa iliyojitokeza ni pale wachezaji Nathan Dyer na Jonathan De Guzman waliponyanganyana mpira kila mmoja akitaka kupiga mkwaju wa penati mara baada ya Jonatha De Guzman kufanyiwa madhambi na Matt Duke na Dyer kutaka kupiga mkwaju huo ili afikishe jumla ya mabao matatu na kufanya afunge hatrick na kuweka historia ya kufunga hatrick katika fainali hizo a kihistoria katika klabu hiyo.



Joe Hart
Kipa wa Manchester City , Joe Hart akiruka kuokoa mchomo wa Penati ya Frank Lampard.

Joe Hart penalty save celeb
Wachezaji Yaya Toure na wakimpongeza kipa wao Joe Hart mara baada ya kuokoa mchomo wa Penati.

Yay Toure
Mchezaji Yaya Toure akishangilia kwa furaha mara baada ya kuipatia City goli la kuongoza.

NAST RESTORT ... Petr Cech saves from Matija Nastasic
Golikipa wa Chelsea akiwa katika kazi ngumu ya kuokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake.


HART ATTACK ... keeper sends Demba Ba flying
Joe Hart akimfanyia madhambi mchezaji Demba Ba na kuipatia Chelsea penati lakini hata hivyo Hart alionyesha uhodari kwa kuiapngua penati hiyo iliyopigwa na Frank Lampard.

JUST LAMP IT ... Frank misses from the spot



Nathan Dyer



WEMB-GLEE ... the legendary stadium before kick-off at the Capital One Cup final





HANS OFF ... Bradford's James Hanson is closed down by Ashley Williams and Leon Britton



DO THE NATH ... Nathan Dyer fires home after 16 minutes


SWAN NIL ... Nathan Dyer wheels away after giving Swansea an early lead




































































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Sport | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Museveni abuses uniform -Besigye
    UGANDA: Museveni abuses uniform -Besigye Former Forum for Democratic Change president Kizza Besigye has responded to a wide range of issues...
  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • RAFA BENITEZ Akalia kuti kavu
    RAFA Benitez kocha wa muda wa Chelsea jana amekiri ya kwamba siku zake zimeshaanza kuhesabika ndani ya timu hiyo kutokana na matokeo mabaya ...
  • Weighbridge Operator - (Eight Posts)
    Weighbridge Operator - (Eight Posts) Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Date Listed: Sep 4, 2013 Phone...
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Administration Officer
    Administration Officer Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority (MUWSA) Date Listed: Sep 5, 2013 Email...
  • Michezo ya Ligi kuu ya Uingereza wikiendi hii katika Picha
    Everton 2 Liverpool 2 Luis Suarez akishangilia goli kwa mtindo wa kuruka mbele ya kocha wa  Everton David Moyes ikiwa kama majibu kulingana ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...
  • Nani kaingia na nani katoka_Usajili vilabu vya Uingereza
    1.    ARSENAL Waliowasili Yaya Sanogo (Auxerre, huru), Mathieu Flamini (AC Milan, huru), Mesut Ozil (Real Madrid, ada ya Pauni Mil. 42.5),...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ▼  February (59)
      • Fergie: Let me move upstairs
      • NBC APPOINTS NEW MANAGING DIRECTOR
      • Tanzania Portland Cement launches new expansion fo...
      • Kenya boy, 13, gains fame for protecting livestock...
      • Do not fight over land, says National Lands Commis...
      • Monetary Boards in collaboration to support develo...
      • Rais Kikwete akagua Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano w...
      • ‘Kitanda kimoja wanalazwa watoto 4, mliyoikuta leo...
      • Heart suggery in Tanzania coming Soon...
      • Je huu ndio mwisho wa Ufalme wa Barcelona???
      • Accounts Receivables Manager
      • 2. Chief Operational Officer
      • Youth Civic Engagement Assistant Project Coordinat...
      • Customer Services / Marketing Administrator ? Clot...
      • Kesi dhidi ya Sh. Ponda: Serikali yafunga ushahidi.
      • Gareth Bale Goals 2012/2013
      • Are Spurs a one-man team?
      • Mancini zaidi ya Benitez, Swansea yafanya mauji ko...
      • Beckaham zaidi ya Joe Barton Ufaransa
      • Rafael amazing goal vs QPR 2013 & Man united vs Qpr
      • Ajali mbaya ya mashindano ya Magari yajeruhi watu 33
      • Mil 142/= zapatikana Mama Salma akiongoza hafla ku...
      • Yanga Yaididimiza Azam, Manchester yaendelea kupaa!!!
      • Accountant for Charity
      • Volunteer Accountant for Charity
      • Vibwanga vya Masta wa majuu katika picha
      • Africa Specialist Tailormade Travel Consultant - C...
      • Barcelona Chaliiiii mbele ya Ac Milan
      • The growth rate of world manufacturing output rema...
      • A major progress has been made on the fight agains...
      • Vibwanga vya Mastaa wa Majuu
      • Wanafunzi wajiua kwa kufeli mtihani wa Kidato cha ...
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • Supermario Balotelli
      • Taarifa ya Katibu wa Bunge.
      • Post: Part-time journalist
      • Oscar Pistorius arrested over fatal shooting
      • Huyu ndiye Mrembo aliyeuawa na Bingwa wa Olympic y...
      • Museveni abuses uniform -Besigye
      • 2 *PhD* Positions in Programming Language-based Se...
      • Job Advert--BBC Worldwide Limited.
      • Analyst/Economist Vacancy
      • Tahadhari kuhusu kupandishwa vyeo kupitia ujumbe w...
      • Digitali yavunja ndoa za watu uswahilini
      • Pope Benedict will Resigns on February 28th, 2013
      • Michezo mbalimbali ya mwishoni mwa wiki! katika Pi...
      • Nigeria Mabingwa wapya wa Africa 2013
      • Baada ya Jamie Caragger kutundika Daluga...wajue w...
      • Master in Leading Innovation and Change from York ...
      • Vibwanga vya mastaaa wa majuu
      • Mwanafunzi wa miaka 9 mbaroni kwa kumwibia mwallim...
      • Drogba 's reaction after papis cisses goal
      • Heavy Equipment Engineers
      • Tanzania 1 Cameroon 0
      • FNB Celebrated one Year in Tanzania
      • TPA and Mombasa Porty Authorithy on mission to cur...
      • Mario Balotelli anza kungaa Italia
      • Maandalizi ya Super Bowl Sunday Yapamba moto
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile