MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 26 February 2013

Je huu ndio mwisho wa Ufalme wa Barcelona???

Posted on 20:38 by Unknown
WASWAHILI huwa wana msemo wao ," Kila Chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho," hakika haya ni maneno yenye kutoa kila aina ya kiashiriao ya kwamba kila jambo lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho, ukianzia katika siasa, burudani wote ni mashahuda kwa  jinsi tulivyoona mwisho wa kundi maarufu la muziki wa roki la Uingereza lilijulikana kama,"TheBeatles" lilivyotamba kwenye miaka ya sitini na sabini lakini leo liko wapi, tumeshuhudia pia wanasasiasa maarufu  kama wa kina Joseph Desire Mobutu Sese Seko, Muamar Ghadafi wa Libya, na kina Michael Jakson aliyekuwa mfalme wa mziki wa Pop duniani ila leo hii wako wapi wote hawa.


Hata kwenye soka au kandanda wote tuliona miaka ya themanini na tisini kwa jinsi nchi ya  Brazili ilivyotawala kwenye kandanda la Dunia ikiongozwa kuanzia na kizazi cha kina Pele, Garincha, Bebeto, Romario na mwisho Ronaldo ila  leo wako wapi na sasa tunaona jinsi waliokuwa wabaitwa wafalme wa  kandanda kwenye ngazi za vilabu Duniani,  timu ya Barcelona ya Uhispania walivyopotea jana usiku ikiwa ni vipigo mfufulizo katika michezo ya kuwania vikombe mara baada ya kuchapwa pia mabao 2-0 na timu ya Ac Milan katika mpambano wa raudni ya kwanza ya mchezo wa Klabu Bingwa ya Ulaya al maarufu kama EUFA Champions lLeague, na kufuatika jana kutolewa kwenye kombe la mfalme , Copa De Relay kwa jumla ya mbao 4-2 na timu hasimu wake Real Madrid hii inadhirhirisha kabisa ya kwamba sasa mwisho wa kutawala umefikia mwisho kwani timu kama Real MAdrid au Ac Milani hakuna ambye ajuye ya kwamba zimeundwa upya kwa damu changa.
Mfalmwe wa Zaire, King Joseph Desire Mobutu Sese Seko


Jana tumeshuhudia jinsi mwanasoka bora wa Dunia kwa mara nne mfufulizo, Lionel Messi alivyokuwa anataabika uwanjani , vile vile tumemshuhudia Nguli na nahodha wa klabu hiyo Calos Puyol akiudhihirisha ulimwengu ya kuwa umri una mantiki kubwa kwenye soka kwa jinsi alivyokuwa anatamani kucheza lakini mwili unakataa, hayo ni badhi tuu ya matukio ambayo yanatoa mwelekeo ya kuwa sas mwisho wa Barcelona umewadia.

Barcelona kama ilivyokuw imezoeleka ni timu yenye kutandaza mpira safi na kutafuta vyumba vya kufunga ila jana usiku hali ilikuwa tofauti kabisa si barcelon tuliyokuwa tumezoea ikiitesa Real Madrid nyumbani na ugenini, wote tulishuhudia hata fundi wao Xavi alivyokosa ufundi na mwisho wake kuishia kutolewa na kuingizwa damu mpya ya Thiago Alcantara (21) kusema ukweli kizazi hiki kimefikia tamati.

Ukianzia Golikipa Jose Manuel Pinto mwenye miaka 37, Calos Puyol 34, Andre Iniesta 28, Xavi Hernandez 33, David Villa 31, Dani Alves 29 ni dhahidi kabisa ya kuwa sasa kizazi hiki cha dhahabu kimefikia tamati na kutuokana na kubadilisha mara kwa mara wachezaji imechukua muda kuweza kuingiza Damu changa kama Thiago Alcantara (21), Busquets (24), Jordi Alba (23) au Sergio Gomez(20) mapema kuweza kuendana na mfumo wao.

Cristiano Ronaldo and Sergio Ramos
Mfalme mmoja anazama mwingine mwingine anaibuka


Cristiano Ronaldo and Jose Pinto
Kipa namba mbili wa Barcelona, Jose Maria Pinto akijaribu kuzuia mchomo wa kiki ya penati ya Cristiano Ronaldo pasipo mafanikio.

Jordi Alba
Mchezaji na beki wa Barcelona, Jordi Alba akishangilia goli la kufutia machozi na kufanya matokea kusomeka 3-1



Real Madrid
Wachezaji wa Real Madrid wakiwapungia mashabiki wao mara baada ya kuiondoa timu ya Barcelona kwenye mashindano ya kombe la mfalme, Copa De Leray.

Carlos Puyol and Lionel Messi

Wafalmwe wa Nou Camp, Nahodha Calos Puyol na Lionel Messi wakitoka uwanjani vichwa chini pasipo kuamini yakiyotokea kwa kukubali kipicho cha mabao 3-1 toka kwa mahasimu wao Real Madrid.

























































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Sport | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Administration Officer
    Administration Officer Moshi Urban Water Supply and Sewerage Authority (MUWSA) Date Listed: Sep 5, 2013 Email...
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • RAFA BENITEZ Akalia kuti kavu
    RAFA Benitez kocha wa muda wa Chelsea jana amekiri ya kwamba siku zake zimeshaanza kuhesabika ndani ya timu hiyo kutokana na matokeo mabaya ...
  • Michezo ya Ligi kuu ya Uingereza wikiendi hii katika Picha
    Everton 2 Liverpool 2 Luis Suarez akishangilia goli kwa mtindo wa kuruka mbele ya kocha wa  Everton David Moyes ikiwa kama majibu kulingana ...
  • Website Designer
    Website Designer House of Graphics Date Listed: Mar 8, 2013 Email Address: Click to Email Phone: P...
  • Monetary Boards in collaboration to support development and growth.
    Leaders of the African Development Bank, European Bank for Reconstruction and Development, Inter-American Development Bank, International Mo...
  • VIDEO: Obama dancing along to Tanzania’s brass dancers
  • Weighbridge Operator - (Eight Posts)
    Weighbridge Operator - (Eight Posts) Tanzania National Roads Agency (TANROADS) Date Listed: Sep 4, 2013 Phone...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ▼  February (59)
      • Fergie: Let me move upstairs
      • NBC APPOINTS NEW MANAGING DIRECTOR
      • Tanzania Portland Cement launches new expansion fo...
      • Kenya boy, 13, gains fame for protecting livestock...
      • Do not fight over land, says National Lands Commis...
      • Monetary Boards in collaboration to support develo...
      • Rais Kikwete akagua Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano w...
      • ‘Kitanda kimoja wanalazwa watoto 4, mliyoikuta leo...
      • Heart suggery in Tanzania coming Soon...
      • Je huu ndio mwisho wa Ufalme wa Barcelona???
      • Accounts Receivables Manager
      • 2. Chief Operational Officer
      • Youth Civic Engagement Assistant Project Coordinat...
      • Customer Services / Marketing Administrator ? Clot...
      • Kesi dhidi ya Sh. Ponda: Serikali yafunga ushahidi.
      • Gareth Bale Goals 2012/2013
      • Are Spurs a one-man team?
      • Mancini zaidi ya Benitez, Swansea yafanya mauji ko...
      • Beckaham zaidi ya Joe Barton Ufaransa
      • Rafael amazing goal vs QPR 2013 & Man united vs Qpr
      • Ajali mbaya ya mashindano ya Magari yajeruhi watu 33
      • Mil 142/= zapatikana Mama Salma akiongoza hafla ku...
      • Yanga Yaididimiza Azam, Manchester yaendelea kupaa!!!
      • Accountant for Charity
      • Volunteer Accountant for Charity
      • Vibwanga vya Masta wa majuu katika picha
      • Africa Specialist Tailormade Travel Consultant - C...
      • Barcelona Chaliiiii mbele ya Ac Milan
      • The growth rate of world manufacturing output rema...
      • A major progress has been made on the fight agains...
      • Vibwanga vya Mastaa wa Majuu
      • Wanafunzi wajiua kwa kufeli mtihani wa Kidato cha ...
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • Supermario Balotelli
      • Taarifa ya Katibu wa Bunge.
      • Post: Part-time journalist
      • Oscar Pistorius arrested over fatal shooting
      • Huyu ndiye Mrembo aliyeuawa na Bingwa wa Olympic y...
      • Museveni abuses uniform -Besigye
      • 2 *PhD* Positions in Programming Language-based Se...
      • Job Advert--BBC Worldwide Limited.
      • Analyst/Economist Vacancy
      • Tahadhari kuhusu kupandishwa vyeo kupitia ujumbe w...
      • Digitali yavunja ndoa za watu uswahilini
      • Pope Benedict will Resigns on February 28th, 2013
      • Michezo mbalimbali ya mwishoni mwa wiki! katika Pi...
      • Nigeria Mabingwa wapya wa Africa 2013
      • Baada ya Jamie Caragger kutundika Daluga...wajue w...
      • Master in Leading Innovation and Change from York ...
      • Vibwanga vya mastaaa wa majuu
      • Mwanafunzi wa miaka 9 mbaroni kwa kumwibia mwallim...
      • Drogba 's reaction after papis cisses goal
      • Heavy Equipment Engineers
      • Tanzania 1 Cameroon 0
      • FNB Celebrated one Year in Tanzania
      • TPA and Mombasa Porty Authorithy on mission to cur...
      • Mario Balotelli anza kungaa Italia
      • Maandalizi ya Super Bowl Sunday Yapamba moto
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile