MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 21 April 2013

Manchester united kutangazwa Mabingwa endapo...

Posted on 21:38 by Unknown
Inawezekana Manchester United ikatangazwa mabingwa leo usiku endapo itaifunga timu ya Aston Villa katika uwanja wake wa Old Trafford hii ni baada uya mahasimu wake wakubwa timu ya Manchester City kukubali kipigo cha mabao 3-1 toka kwa Tottenham Hospursd jana jumapili.

Endapo Manchester United itashinda katika pambano lake la leo usiku katika majira ya nn usiku 4;00pm dhidi ya Ston Villa timu ya manchester itafikisha jumla ya pointi themanini na nne (84) ikiwa ni mbele ya pint 16 dhidi ya Man City ambayo hata kama mechi zake zote zilizosalia itafanikiwa kufikisha jumla ya point 83 ambazo zitakuwa zimeshapitwa na Man united. Kwa sasa Man City wana jumla ya point 68 mara baada ya mchezo wao wa jana.

Wakati huo huo meneja wa Mashetani hao wekundu, Sir Alex Ferguson ametabanaisha ya kwamba kikosi hiki cha sasa ni bora zaidi kati alivyojaliwa kuwa navyo itakumbukwa mwaka 1999 walivyofanikiwa kushinda mataji matatu (Trebble) walifanikiwa kukusanya point 79 kushinda ligi, na mwaka 1997 walishinda kwa point 75 na pia point 91 na kama wakishinda michezo iliyobakia watakuwa na jumla ya pointi 96 ndio maana anachukulia kama kikosi bora kabisa.  


Liverpool 2 Chelsea 2

 Luis Suarez equalises in the dying seconds



Tottenham 3 Manchester City 1

 Gareth Bale bags Tottenham's third goal


Fulham 0 Arsenal 1


Per Mertesacker celebrates


Queen Park Rangers 0 Stoke City 2

 Peter Crouch celebrates



Sunderland 1 Everton 0

 Paolo Di Canio celebrates as a dejected David Moyes turns away after Stephane Sessegnon's goal















































 
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in sports | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ▼  April (53)
      • Charlie Chaplin - The Lion's Cage
      • Top 10: Wonderkids
      • Aston Villa yamdidimiza Paulo Di Canio 6-1 katika ...
      • Kenya & Tanzania Luxury Travel Specialist
      • Sales & Marketing Assistant
      • Volunteers
      • TPA Directors Vacancies
      • Alichozungumza kocha wa Arsenal, Arsene Wenger dhi...
      • Watanzania nchini China katika Sherehe za 49 Muungano
      • The East African Round Up -Waiganjo's case adjourned
      • Beyonce Knowles arudi rasmi jukwaan na awaacha hoi...
      • Kenya launches Gospel talent search
      • Kauli za Nyerere, Karume - 26.04.1964; Ndege za vi...
      • IMPORTANT REMINDER FOR STUDENTS AND ALUMNI: Comple...
      • AfDB launches project bonds in African markets
      • Mkutano wa CHADEMA Iringa, Jumanne 23.04.2013
      • African Barrick Gold (ABG) achieved strong perform...
      • Sir Alex Ferguson aongoza shamrashamra za ushindi
      • Man Utd win the Premier League - Custis verdict
      • Manchester United Mabingwa wapya wa Premier League...
      • Nafasi za Kazi
      • MWENYEKITI WA UMOJA WA SACCOS TAIFA MBEYA APIGWA...
      • Kumbe Luis Suarez akuanza jana kungata wenzake...A...
      • Luis Suarez bites Branislav Ivanovic
      • Manchester united kutangazwa Mabingwa endapo...
      • Administrative Assistant
      • Administrative Assistant, Family Medicine Entity
      • Manager Corporate Finance & Accounts
      • Programme Specialist - 'Electoral Support, Parliam...
      • Investment disputes brought to international arbit...
      • The East African Round Up
      • Kitaifa Makinda kuamua hatima ya Lissu leo
      • Marketing and Sales Executive
      • Administrative Officer (1 Post)
      • Data Entry Clerks (20 Positions)
      • Data Collectors (52 Positions)
      • Video: Dk Slaa (CHADEMA) atoa kauli nzito
      • Mbowe, Slaa: Hatukubali Chadema kuhujumiwa
      • Admission of Diploma holders into Higher
      • Scholarships for students and academics
      • Academic Research Proposal Writing For Postgraduat...
      • Vibwanga wvya mastaa wakisafiri
      • Governments have the primary responsibility for as...
      • DoubleTree by HIlton has partnered with Sober House
      • Head of Procurement Management Unit (One Post)
      • Kombe kuelekea Ujerumani au Uhispania..
      • Matthew Lowton Screamer goal Vs Stoke!!!!!
      • National Geographic Americas Hardest Prisons-State...
      • The BRICS group put forward the proposal establish...
      • BRANCH MANAGER
      • Job Advert
      • Maznat Bridal 10 Years Anniversary
      • Maznat Bridal 10 Years Anniversary
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile