MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 23 April 2013

Mkutano wa CHADEMA Iringa, Jumanne 23.04.2013

Posted on 22:38 by Unknown
Picture
katibu mkuu wa Chadema Dkt Slaa (kushoto) akiwa na mbunge wa jimbo la Ubungo Jonh Mnyika katika mkutano wa wabunge wa CHADEMA waliofukuzwa bungeni, katika uwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa, leo.



Picture

Picture

Katibu Mkuu wa CHADEMA Dk Wilbrod Slaa amewataka wabunge wa CHADEMA kuendeleza ukali zaidi na kutokuogopa kufukuzwa Bungeni.

Akiuhutubia umati mkubwa wa wananchi wa mkoa wa Iringa katika uwanja wa Mwembetogwa jimbo la Iringa mjini, Slaa alisema kuwa kamwe hawatarudi nyuma katika kupigania maslahi ya Taifa.

“Tulisimama Mwembe Yanga na kuwataja mafisadi 11 akiwemo Rais Jakaya Kikwete ila hadi leo hakuna kiongozi aliyesimama na kupambana na mafisadi hao.”

Alisema CCM imeendelea kuifanyanga katiba ya Taifa hili kufanya mambo ambayo wanayajua wao na kuacha kuwatumikia Watanzania na hivyo kuwataka askari polisi na wananchi wanyonge kuungana na CHADEMA katika kulipigania Taifa la Tanzania ili lisiendelee kuwa Taifa la mafisadi wachache wa CCM.

Alisema kuwa wapo ambao wanaeneza propaganda mbaya dhidi ya CHADEMA ila ukweli ni kuwa CHADEMA ipo kwa ajili ya kumkomboa mwananchi na hivyo kuwataka watanzania kuendelea kukipa nafasi CHADEMA ili kuipokea CCM Ikulu kutokana na CCM kushindwa kuwatumikia wananchi wake.

Picture


Dk Slaa alisema kuwa pamoja na Idara ya Usalama wa Taifa kujifanya wanajua kila jambo, wengi wao hawaijui katiba ya Jumhuri ya Muungano wa Tanzania na ndiyo sababu wamekuwa wakifanya mambo bila kujitambua pamoja na wabunge wa CCM wanaokwenda Bungeni kwa ajili ya kuipongeza CCM badala ya kuwatetea wananchi.

Akawataka Usalama wa Taifa kulinda raslimali za Taifa kama twiga wanaosafirishwa nje ya nchi badala ya kupambana na CHADEMA.

Pia, aliwashangaa wabunge wa CCM ambao siku zote wamekuwa wakichangia bajeti na mwisho wakishauri ama kuipongeza bila kuangalia bajeti husika ipo kwa ajili ya wananchi ama kwa ajili ya serikali na kudai kuwa wabunge wa CCM wanafanya kazi ya serikali badala ya kuwatetea wananchi waliowatuma bungeni.

Amewataka Wabunge kutumia kamusi (dictionary) katika kupambanua kauli mbalimbali badala ya kutumia nguvu kusema wabunge wa CHADEMA wametukana bungeni.

Amewaagiza Wabunge wa CHADEMA kuchapisha vitabu vya mambo ya Bungeni na kuvisambaza kwa wananchi ili wajue kinachoendelea.


Picture
Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi (MR SUGU) alisema Serikali ya CCM imepotezana kiasi cha kumchukia mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe (CCM) kwa kuonyesha kusimamia ukweli kwa kuipinga bajeti ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. “...binafsi nampongeza mbunge Filikunjombe kwa kuwa si mnafiki kama wengine.”


Picture






Picture
Mbunge wa jimbo la Ilemela mkoani Mwanza, Highness Kiwia alisema kuwa pamoja Bunge kuwa na Wabunge wa CCM wanatetea ufisadi wa serikali yao na kutaka chenji ya rada badala ya kuwasaka wahusika wa ufisadi huo.



Picture


Picha, maelezo, taarifa: Francis Godwin via FG blog, Iringa.

Source:www.wavuti.com








































































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ▼  April (53)
      • Charlie Chaplin - The Lion's Cage
      • Top 10: Wonderkids
      • Aston Villa yamdidimiza Paulo Di Canio 6-1 katika ...
      • Kenya & Tanzania Luxury Travel Specialist
      • Sales & Marketing Assistant
      • Volunteers
      • TPA Directors Vacancies
      • Alichozungumza kocha wa Arsenal, Arsene Wenger dhi...
      • Watanzania nchini China katika Sherehe za 49 Muungano
      • The East African Round Up -Waiganjo's case adjourned
      • Beyonce Knowles arudi rasmi jukwaan na awaacha hoi...
      • Kenya launches Gospel talent search
      • Kauli za Nyerere, Karume - 26.04.1964; Ndege za vi...
      • IMPORTANT REMINDER FOR STUDENTS AND ALUMNI: Comple...
      • AfDB launches project bonds in African markets
      • Mkutano wa CHADEMA Iringa, Jumanne 23.04.2013
      • African Barrick Gold (ABG) achieved strong perform...
      • Sir Alex Ferguson aongoza shamrashamra za ushindi
      • Man Utd win the Premier League - Custis verdict
      • Manchester United Mabingwa wapya wa Premier League...
      • Nafasi za Kazi
      • MWENYEKITI WA UMOJA WA SACCOS TAIFA MBEYA APIGWA...
      • Kumbe Luis Suarez akuanza jana kungata wenzake...A...
      • Luis Suarez bites Branislav Ivanovic
      • Manchester united kutangazwa Mabingwa endapo...
      • Administrative Assistant
      • Administrative Assistant, Family Medicine Entity
      • Manager Corporate Finance & Accounts
      • Programme Specialist - 'Electoral Support, Parliam...
      • Investment disputes brought to international arbit...
      • The East African Round Up
      • Kitaifa Makinda kuamua hatima ya Lissu leo
      • Marketing and Sales Executive
      • Administrative Officer (1 Post)
      • Data Entry Clerks (20 Positions)
      • Data Collectors (52 Positions)
      • Video: Dk Slaa (CHADEMA) atoa kauli nzito
      • Mbowe, Slaa: Hatukubali Chadema kuhujumiwa
      • Admission of Diploma holders into Higher
      • Scholarships for students and academics
      • Academic Research Proposal Writing For Postgraduat...
      • Vibwanga wvya mastaa wakisafiri
      • Governments have the primary responsibility for as...
      • DoubleTree by HIlton has partnered with Sober House
      • Head of Procurement Management Unit (One Post)
      • Kombe kuelekea Ujerumani au Uhispania..
      • Matthew Lowton Screamer goal Vs Stoke!!!!!
      • National Geographic Americas Hardest Prisons-State...
      • The BRICS group put forward the proposal establish...
      • BRANCH MANAGER
      • Job Advert
      • Maznat Bridal 10 Years Anniversary
      • Maznat Bridal 10 Years Anniversary
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile