MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Tuesday, 6 August 2013

THIAGO ALCANTARA KULETA MZOZO BAYERN!!

Posted on 08:17 by Unknown
KOCHA wa zamani wa Bayern Munich Felix Magath amedai kuwa meneja mpya wa Mabingwa wa Bavarian almaarufu kama Bayern Munich, Josep " Pep" Gardiola amejitakia mwenyewe matatizo kwa kumsaini  kiungo kinda Thiago Alcantara kuichezea Bayern Munich msimu huu mpya.
 
Alcantara, Kiungo wa Spain mwenye Miaka 22, aliihama Barcelona Mwezi uliopita na kuhamia Bayern Munich kwa Dau la Euro Milioni 20 na kuungana na Kocha Mhispania mwenzake aliekuwa Barcelona, Pep Guardiola, ambae pia ndie alimwinua Alcantara kutoka Timu B hadi Kikosi cha Kwanza cha Barca.

Lakini Felix Magath, aliekuwa kocha wa Bayern Munich kati ya wwaka 2004 na 2007, amesema uamuzi wa Guardiola kumchukua Alcantara utamletea matatizo na atajutia.

Magath ametamka: “naona ni tatizo kwa kocha Mhispania kumsaini Mhispania mwenzake. Pep atapata matatizo na Thiago. Ama wachezaji wenzake watakasirika kwa kuwa anachezeshwa mara kwa mara au watu watahoji uhamisho wake wa dau kubwa ikiwa hachezi! Kocha Josep Gurdiola almaarufu kama Pep angeweza kuepuka hili,"

Mbali ya utata huo, Felix Magath, ambae Msimu uliopita alikuwa Kocha wa Klabu ya Bundesliga Wolfsburg, pia anaamini Pep Guardiola hatashinda ile vita ya kupiku mafanikio ya Msimu uliopita ya Kocha Jupp Heynckes ambae aliiwezesha Bayern Munich kuweka Historia ya kuwa Klabu ya kwanza ya Germany kutwaa ‘Trebo’ yaani, Ubingwa wa Germany, Ubingwa wa Ulaya na kubeba German Cup.

Magath amedai: “Pep ana tatizo kubwa la kurithi Timu ambayo ilishinda kila kitu Msimu uliopita. Hivyo hawezi kuwafanya wawe bora zaidi ya hapo!”
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Michezo | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ▼  August (18)
      • USAJILI WA GARETH BALE KWENDA REAL MADRID WAIVA
      • Chelsea join race for Willian,Bale's Madrid move i...
      • Maeneo ya Dar yakosa umeme baada ya moto kuunguza ...
      • Benki ya Taifa Biashara yazindua kampeni ya kuweka...
      • Real Madrid are rumoured to be holding the number ...
      • Just like OBAMA and OPRAH , Robert Kelly will aslo...
      • Oprah tells her Serengeti trip story through photos
      • Wenger kumgeukia Michu
      • MIWANI PANA YA EDO ~ TATHMINI YA MECHI YA KWANZA Y...
      • University of Dar es Salaam among top 100 Universi...
      • Cristiano Ronaldo's future at Real Madrid remains ...
      • THIAGO ALCANTARA KULETA MZOZO BAYERN!!
      • Clinton atua Dar kiaina
      • Vichwa vya Magazeti leo kuhusu usajili Barani Ulaya
      • REAL MADRID NA MANCHESTER UNITED KWENYE MAZUNGUMZO...
      • Real Madrid stars worried Ronaldo will leave
      • Waziri Mkuu Pinda ashtakiwa mahakamani
      • Waziri Mkuu Pinda ashtakiwa mahakamani
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile