MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 10 February 2013

Michezo mbalimbali ya mwishoni mwa wiki! katika Picha!

Posted on 20:45 by Unknown


Katika ukurasa huu tunawaletea picha za matokea ya michezo mbalimbali iliyochezwa mwishoni mwa Juma.

Manchester United mwishoni mwa juma ilijipatia ushindi wa mabo 2-0 na kutanua wigo wake na timu nyingine has mahasimu wake Manchester City kwa pointi kumi na mbili mara baada ya City kupoteza mchezo wake siku ya Jumamosi.

Barcelona ya Uhispania pia jana iliwatandika Getafe kwa mabao sita kwa moja na kuendelea kuongoza kwa tofauti ya pointi  kumi na sita  dhidi ya mahasimu wao wa jijini Madrid ya Athletico Madrid kwa pointi kumi nambili ikiwa imejikusanyia point 62 dhidi ya 52 za Athletico Madrid na 46 za Real Madrid. 

Katika ligi kuu ya Ujerumani al maarufu kama Bundelsiga ilishuhudia timu ya Bayern Munich ikizidi kupaa kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo mara baada ya timu ya Borussia Dortumnd kukubali kipigo cha mabao 4-1 katika uwanja wake wa nyumbani wa Siganl Iduna Park toka kwa timu ya Hamburg SV. Na huku Bayern Munich ikiichambua Schalke 04 kwa mabao 4-0 na kufanya iendelee kuongoza kwa jumla ya tofauti ya pointi 15.

Bayern Munich hadi hivi sasa imefanikiwa kujikusanyia jumla ya pointi 54 dhidi ya 39 za Borussia Dortmund.

Na  






Ryan Giggs akishangilia pamoja na Robin Van Persie mara baada ya kuandikia Manchester United bao la kuongoza na kwa kufanya hivyo anakuwa mchezaji wa kwanza kufunga goli kila msimu wa Ligi kuu ya Uingereza kwa misimu takriban ishirini na saba 27.




Robin van Persie rounds Tim Howard
Robin Van Persie akiipatia Manchester United goli la pili na la ushindi katika mchezo uliochezwa jana katika uwanja wa Old Trafford.


Manchester United Ryan Giggs group celeb v Everton




POWER SERG ... Ramos with Real pal Ronaldo

Mchezaji SErgio Ramos wakishangilia kwa pamoja na Christiano Ronaldo katika ushindi wao wa mabao 4-1 dhidi yaSevilla FC


Alexis Sanchez celebrates giving Barcelona the early lead against Getafe

Mchezaji wa Barcelona Alexis Sanchez akiruka kwa furaha katika kushangilia goli lake likiwa ni la kwanza kwa msimu huu katika ushindi wao 6-1 dhidi ya timu ya Getafe katika ligi kuu ya Uhispania, La Liga.

OWN GOAL WOE ... Gareth Barry reacts after scoring Southampton's third
Wachezaji wa Manchester City wakiongozwa na Joe Hart wakitoka vichwa chini mara baada ya kupoteza mchezo wao dhidi ya Southampton kwa jumla ya mabao 3-1

SUCKER PUNCHEON ... Southampton break the deadlock
Gareth Barry akijifunga na kuisaidi Southampton kujipatia goli la  tatu.



DOUBLE TROUBLE ... Steven Davis pokes home a second for Saints
Kipa Joe Hart wa MAnchester City akifungwa goli la pili na Steven Davis

FRANKS A BUNCH ... Lampard celebrates with Eden Hazard and Juan Mata
Wachezaji wa timu yaChelsea wakishangilia kwa pamoja ushindi wa mabo 4-1 dhidi ya Wigan


RAM RAID ... Brazilian Ramires fires Chelsea in front

Mchezaji Ramirez akiipatia timu yake goli la kuongoza katika ushidni wa mabao 4-1 dhidi ya Wigan Athletic.

David Alaba celebrates after putting Bayern in front against Schalke
David Alaba wa Bayern Munich akishangilia mara baada ya kuifungia Bayern Munich.


Cameron Jerome

Mchezaji toka Cameroon, Jerome akiifungia Stoke City goli la pili katika ushindi wo wa 2-1 dhidi ya REading








































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in sports | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ▼  February (59)
      • Fergie: Let me move upstairs
      • NBC APPOINTS NEW MANAGING DIRECTOR
      • Tanzania Portland Cement launches new expansion fo...
      • Kenya boy, 13, gains fame for protecting livestock...
      • Do not fight over land, says National Lands Commis...
      • Monetary Boards in collaboration to support develo...
      • Rais Kikwete akagua Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano w...
      • ‘Kitanda kimoja wanalazwa watoto 4, mliyoikuta leo...
      • Heart suggery in Tanzania coming Soon...
      • Je huu ndio mwisho wa Ufalme wa Barcelona???
      • Accounts Receivables Manager
      • 2. Chief Operational Officer
      • Youth Civic Engagement Assistant Project Coordinat...
      • Customer Services / Marketing Administrator ? Clot...
      • Kesi dhidi ya Sh. Ponda: Serikali yafunga ushahidi.
      • Gareth Bale Goals 2012/2013
      • Are Spurs a one-man team?
      • Mancini zaidi ya Benitez, Swansea yafanya mauji ko...
      • Beckaham zaidi ya Joe Barton Ufaransa
      • Rafael amazing goal vs QPR 2013 & Man united vs Qpr
      • Ajali mbaya ya mashindano ya Magari yajeruhi watu 33
      • Mil 142/= zapatikana Mama Salma akiongoza hafla ku...
      • Yanga Yaididimiza Azam, Manchester yaendelea kupaa!!!
      • Accountant for Charity
      • Volunteer Accountant for Charity
      • Vibwanga vya Masta wa majuu katika picha
      • Africa Specialist Tailormade Travel Consultant - C...
      • Barcelona Chaliiiii mbele ya Ac Milan
      • The growth rate of world manufacturing output rema...
      • A major progress has been made on the fight agains...
      • Vibwanga vya Mastaa wa Majuu
      • Wanafunzi wajiua kwa kufeli mtihani wa Kidato cha ...
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • Supermario Balotelli
      • Taarifa ya Katibu wa Bunge.
      • Post: Part-time journalist
      • Oscar Pistorius arrested over fatal shooting
      • Huyu ndiye Mrembo aliyeuawa na Bingwa wa Olympic y...
      • Museveni abuses uniform -Besigye
      • 2 *PhD* Positions in Programming Language-based Se...
      • Job Advert--BBC Worldwide Limited.
      • Analyst/Economist Vacancy
      • Tahadhari kuhusu kupandishwa vyeo kupitia ujumbe w...
      • Digitali yavunja ndoa za watu uswahilini
      • Pope Benedict will Resigns on February 28th, 2013
      • Michezo mbalimbali ya mwishoni mwa wiki! katika Pi...
      • Nigeria Mabingwa wapya wa Africa 2013
      • Baada ya Jamie Caragger kutundika Daluga...wajue w...
      • Master in Leading Innovation and Change from York ...
      • Vibwanga vya mastaaa wa majuu
      • Mwanafunzi wa miaka 9 mbaroni kwa kumwibia mwallim...
      • Drogba 's reaction after papis cisses goal
      • Heavy Equipment Engineers
      • Tanzania 1 Cameroon 0
      • FNB Celebrated one Year in Tanzania
      • TPA and Mombasa Porty Authorithy on mission to cur...
      • Mario Balotelli anza kungaa Italia
      • Maandalizi ya Super Bowl Sunday Yapamba moto
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile