MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 24 February 2013

Yanga Yaididimiza Azam, Manchester yaendelea kupaa!!!

Posted on 00:23 by Unknown
Timu ya Yanga ya mjini Dar es Salaam jana ilifanikiwa kuidimiza timu ya Azam pia ya  jijini Dar es Salaam kwa bao moja kwa bila 1-0 katika muendelezo wa michezo ya Ligi kuu ya Tanzania al maarufu kama Vodacom Premier League. Bao la liliwapatia ushindi huo murua vijana hao wa mitaa ya Twiga na Jangwani lilifungwa na mchezaji wa Kimataifa kutokea Nchnini Rwanda,?Haruna Niyonzima.

Wakati hayo yakiajiri kwa upande wa Tanzania, Nchini Uingereza ligi kuu ya nchi nayo iliendeleza kupamba moto wakati Mabingwa wa kihistoria katika nchi timu ya Manchester United iliendelea kupaa kileleni mwa msimamo waligi hiyo ikiifunga timu inayoshika mkia timu ya Queen Park Rangers kwa mabo 2-0. Mabao ya timu hiyo yalitiwa kimiani na mchezaji anayekuja kwa kasi kutoka nchini Brazili Beki Raphael Da Silva na goli lingine lifungwa na mkongwe wa timu hiyo Ryan Giggs.

katika micehzo mingine ya ligi hiyo timu ambayo kocha wake kwa sasa yuko katika kipindi , timu ya Arsenal ilifanikiwa kupata ushindi kwa mabao 2-1 katika dakika za lala salama kwa magoli yaliofungwa na mchezaji toka Uhispania, Santi Carzola. 

wakati hayo yakitokea katika uwanja wa Emirates timu ya Fulham iliidimiza pia timu ya Stoke City kwa goli lililofungwa na mchezaji toka nchini Bulgaria Dimitar Berbatov., nayo Norwich City ikiichambua timu machachari ya Everton kwa mabao ya Grant Holt na Kei Kamara.

Nayo timu inayopigana vita ya kutokushuka daraja ya wigani ikaifunga timu ya Reading kwa jumla ya mabao 3-0

Mchezaji wa Yanga, Jerry Tegete akijilaumu mwenyewe mara baada ya kukosa goli la wazi


Moja ya Vituko vilionekana jana katika mchezo wa Yanga na Azam zote za jijini Dar es Salaam.


Santi Cazorla
Santi Carzola akishangilia moja ya mabao yake aliyoyafunga jana dhid ya Aston Villa

Santi Cazorla scores his second
Mchezaji wa Arsenal Santi Crzola kipatia timu yake goli la ushinid dhidi ya Aston Villa katiak ushindi wa 2-1

PICK THAT ONE OUT ... Dimitar Berbatov fires in a sumptuous volley to win the game for Fulham
Mchezaji toka Bulgaria Dimitar Berbatov akiifungia timu yake ya Fulham goli la pekee na la ushidi katika mchezo wao wa jana dhidi ya Stoke City.

HEAD BOY ... Peter Crouch beats Steve Sidwell to the ball
Moja ya purukushani ya zilitokea golini mwa Fulham,hapa ni mmoja wa wachezaji warefu katika ligi hiyo Peter Croch akijaribu kumzidi maarifa beki wa timu ya Fulham.


Grant Holt celebrates
Mchezaji Grant Holt akishangilia mara baada ya kufunga goli la ushindi dhidi ya timu ya Everton katika ushindi wa 2-1

Kei Kamara celebrates
Mchezaji anayeichezea Norwich kwa mkopo akitokea Sporting Kansas City ya Major League, Kei Kamara akishangilia moja ya mabo ya Norwich katika mchezo huo wa jana.

SCREAMER ... Rafael celebrates after scoring a stunning volley
Mchezaji machachari toka Brazil, Raphael Da Silva akiipatia timu yake ya Manchester United goli la kuongoza dhidi ya Queen Park Rangers.

RYAN MIGHTY ... Giggs seals the win with a tidy finish
Mkongwe Ryan Gigg akiiandikia timu yake ya Manchester goli la pili na ushindi dhidi ya timu iliyo mkiani ya QPR




GIVEN AROUN AROUND ... Kone dinks the ball over Adam Federici to score his second
Mchezaji toka Ivory Cost, Arouna Kone akishangilia moja ya mabao aliyofunga jana katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Reading

IN LUK ... Romelu Lukaku celebrates scoring a penalty to give Albion the lead
Mchezaji Rumelo Lukaku akishangilia moja ya mabao ya West Brom katika ushindi wa 2-1 dhidi ya timu ya Sunderland

ODE TO JOY ... Peter Odemwingie is all smiles back on the West Brom bench

Mchezaji toka Nigeria, Peter Odemwinge akifurahi kurudi katika mchezo dhidi ya Sunderland itakumbukwa mchezaji huyo alikuwa amefungiwa kucheza baadhi ya michezo katika kile kilichoshutumiwa kama utovu wa ndihamu katika kulazimisha kuhama timu hiyo kwenda Queen Park Rangers katika dirisha la January.




















































































































Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Michezo | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ▼  February (59)
      • Fergie: Let me move upstairs
      • NBC APPOINTS NEW MANAGING DIRECTOR
      • Tanzania Portland Cement launches new expansion fo...
      • Kenya boy, 13, gains fame for protecting livestock...
      • Do not fight over land, says National Lands Commis...
      • Monetary Boards in collaboration to support develo...
      • Rais Kikwete akagua Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano w...
      • ‘Kitanda kimoja wanalazwa watoto 4, mliyoikuta leo...
      • Heart suggery in Tanzania coming Soon...
      • Je huu ndio mwisho wa Ufalme wa Barcelona???
      • Accounts Receivables Manager
      • 2. Chief Operational Officer
      • Youth Civic Engagement Assistant Project Coordinat...
      • Customer Services / Marketing Administrator ? Clot...
      • Kesi dhidi ya Sh. Ponda: Serikali yafunga ushahidi.
      • Gareth Bale Goals 2012/2013
      • Are Spurs a one-man team?
      • Mancini zaidi ya Benitez, Swansea yafanya mauji ko...
      • Beckaham zaidi ya Joe Barton Ufaransa
      • Rafael amazing goal vs QPR 2013 & Man united vs Qpr
      • Ajali mbaya ya mashindano ya Magari yajeruhi watu 33
      • Mil 142/= zapatikana Mama Salma akiongoza hafla ku...
      • Yanga Yaididimiza Azam, Manchester yaendelea kupaa!!!
      • Accountant for Charity
      • Volunteer Accountant for Charity
      • Vibwanga vya Masta wa majuu katika picha
      • Africa Specialist Tailormade Travel Consultant - C...
      • Barcelona Chaliiiii mbele ya Ac Milan
      • The growth rate of world manufacturing output rema...
      • A major progress has been made on the fight agains...
      • Vibwanga vya Mastaa wa Majuu
      • Wanafunzi wajiua kwa kufeli mtihani wa Kidato cha ...
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • Supermario Balotelli
      • Taarifa ya Katibu wa Bunge.
      • Post: Part-time journalist
      • Oscar Pistorius arrested over fatal shooting
      • Huyu ndiye Mrembo aliyeuawa na Bingwa wa Olympic y...
      • Museveni abuses uniform -Besigye
      • 2 *PhD* Positions in Programming Language-based Se...
      • Job Advert--BBC Worldwide Limited.
      • Analyst/Economist Vacancy
      • Tahadhari kuhusu kupandishwa vyeo kupitia ujumbe w...
      • Digitali yavunja ndoa za watu uswahilini
      • Pope Benedict will Resigns on February 28th, 2013
      • Michezo mbalimbali ya mwishoni mwa wiki! katika Pi...
      • Nigeria Mabingwa wapya wa Africa 2013
      • Baada ya Jamie Caragger kutundika Daluga...wajue w...
      • Master in Leading Innovation and Change from York ...
      • Vibwanga vya mastaaa wa majuu
      • Mwanafunzi wa miaka 9 mbaroni kwa kumwibia mwallim...
      • Drogba 's reaction after papis cisses goal
      • Heavy Equipment Engineers
      • Tanzania 1 Cameroon 0
      • FNB Celebrated one Year in Tanzania
      • TPA and Mombasa Porty Authorithy on mission to cur...
      • Mario Balotelli anza kungaa Italia
      • Maandalizi ya Super Bowl Sunday Yapamba moto
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile