MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Sunday, 24 February 2013

Mil 142/= zapatikana Mama Salma akiongoza hafla kuchangia Wanawake wenye matatizo kiafya.

Posted on 00:29 by Unknown
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Montage (iliyoandaa hafla hiyo),Teddy Mapunda akimpa zawadi ya heshima Mgeni Rasmi, Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete mara baada ya kuifanikisha vyema tafrija hiyo maalum ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wenye matatizo ya afya hapa nchini kupitia mfuko wa Montage Charity Ball, iliyofanyika jioni ya leo kwenye Hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana.




Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Montage (iliyoandaa hafla hiyo),Teddy Mapunda akimpa zawadi ya heshima Mgeni Rasmi, Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete mara baada ya kuifanikisha vyema tafrija hiyo maalum ya harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia wanawake wenye matatizo ya afya hapa nchini kupitia mfuko wa Montage Charity Ball, iliyofanyika jioni ya leo kwenye Hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana.



Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimkabidhi Bwa.Charles Stith ambaye aliwahi kuwa balozi wa Marekani nchini Tanzania cheti chake cha heshima ,mara baada ya kuchangia $ 10,000 kwenye hafla ya kukusanya kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 100 kwa ajili ya kusaidia matibabu ya Wanawake wenye matatizo mbali mbali,Anaeshuhudia pichani kulia ni Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana usiku huu,ndani ya hoteli ya Serena,jijini Dar.



Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimkabidhi Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BOT),Bwa.Benno Ndulu cheti chake cha heshima ,mara baada ya kuchangia Milioni Kumi kwenye hafla ya kukusanya kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 100 kwa ajili ya kusaidia matibabu ya Wanawake wenye matatizo mbali mbali,Anaeshuhudia pichani kulia ni Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal,aidha katika tafrija hiyo iliyofana sana kiasi cha shilingi milioni 142 na laki tano zimepatikana usiku huu,ndani ya hoteli ya Serena,jijini Dar.



Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal pichani kulia akizungumza machache,ambaye pia alichangia kiasi cha shilingi Milioni mbili katika hafla hiyo.





Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete wakipeana mkono wa pongezi na Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal kwa kuchangia kwake.



Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete wakipeana mkono wa pongezi na kumkabidhi cheti cha heshima Mke wa Makamu wa Rais,Mama Asha Bilal kwa kuchangia kwake




Mgeni Rasmi,Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete akimkabidhi cheti cha heshima mmoja wa watangazaji wa kipindi cha Power-Breakfast kutoka Clouds FM, Said Bonge a.k.a Bonge Barabarani ambaye pia alichangia kiasi cha shilingi laki tisa





Makofi ya pongezi na shukurani kwa Bonge Barabarani yakipigwa.





Mama Salma Kikwete akimkabidhi mmoja wa Wakilishi wa Kampuni ya ndege ya Flight Link cheti chake cha heshima, mara baada ya kuchangia kiasi cha fedha kwenye hafla hiyo.



Mama Salma Kikwete akimkabidhi cheti cha heshima Meneja mahusiano wa PPF,Lulu Mengele ,mara baada ya kuchangia kiasi cha fedha kwenye hafla hiyo,kulia kwake akishuhudia ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Asha Bilal..



Mgeni Rasmi,Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza machache mbele ya wageni waalikwa (hawapo pichani) mara baada ya kuifanikisha hafla hiyo kwa kiasi kikubwa.


Mmoja wa Waratibu wa hafla ya Montage Charity Ball, Barbra Hassan akiwakaribisha baadhi ya viongozi mbalimbali wa kiserikali,mabalozi na wageni waalikwa wengine waliofika kwenye hafla hiyo ndani ya hotel ya Serena jijini Dar.


































Pichani juu ni wageni waalikwa kutoka makampuni mbalimbali wakishuhudia yaliyokuwa yakijiri kwenye hafla hiyo,ambapo mgeni rasmi alikuwa Mke wa Rais,Mama Salma Kikwete.




Kalunde Band wakitumbuiza jukwaani




Msanii wa muziki wa kizazi kipya Barnaba akipewa kampani na baadhi ya wanamuziki wenzake jukwaani,wakitumbuiza mbele ya wageni waalikwa (hawapo pichani),ndani ya hotel ya Serena jijini Dar.



Baadhi ya Wafanyakazi wa kampuni ya bia ya Serengeti wakiongozwa na MKurugenzi wao Mtendani (wa tatu kulia),Steve Gannon wakiwa katika picha ya pamoja,aidha kampuni hiyo pamoja na kudhamini hafla hiyo pia ilichangia kiasi cha shilingi milioni tano








Baadhi ya magauni yakinadiwa kwa staili ya kipekee kabisa,kwa ajili ya kuchangia mfuko huo wa kuwasiadia wanawake wenye matatizo ya afya hapa nchini kupitia mfuko wa Montage Charity Ball.




---
PICHA ZOTE credit: Michuzijr @JiachieBlog
 


Source by www.wavuti.com









Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Local News | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ▼  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ▼  February (59)
      • Fergie: Let me move upstairs
      • NBC APPOINTS NEW MANAGING DIRECTOR
      • Tanzania Portland Cement launches new expansion fo...
      • Kenya boy, 13, gains fame for protecting livestock...
      • Do not fight over land, says National Lands Commis...
      • Monetary Boards in collaboration to support develo...
      • Rais Kikwete akagua Ukumbi wa Kisasa wa Mikutano w...
      • ‘Kitanda kimoja wanalazwa watoto 4, mliyoikuta leo...
      • Heart suggery in Tanzania coming Soon...
      • Je huu ndio mwisho wa Ufalme wa Barcelona???
      • Accounts Receivables Manager
      • 2. Chief Operational Officer
      • Youth Civic Engagement Assistant Project Coordinat...
      • Customer Services / Marketing Administrator ? Clot...
      • Kesi dhidi ya Sh. Ponda: Serikali yafunga ushahidi.
      • Gareth Bale Goals 2012/2013
      • Are Spurs a one-man team?
      • Mancini zaidi ya Benitez, Swansea yafanya mauji ko...
      • Beckaham zaidi ya Joe Barton Ufaransa
      • Rafael amazing goal vs QPR 2013 & Man united vs Qpr
      • Ajali mbaya ya mashindano ya Magari yajeruhi watu 33
      • Mil 142/= zapatikana Mama Salma akiongoza hafla ku...
      • Yanga Yaididimiza Azam, Manchester yaendelea kupaa!!!
      • Accountant for Charity
      • Volunteer Accountant for Charity
      • Vibwanga vya Masta wa majuu katika picha
      • Africa Specialist Tailormade Travel Consultant - C...
      • Barcelona Chaliiiii mbele ya Ac Milan
      • The growth rate of world manufacturing output rema...
      • A major progress has been made on the fight agains...
      • Vibwanga vya Mastaa wa Majuu
      • Wanafunzi wajiua kwa kufeli mtihani wa Kidato cha ...
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • SASA MKAZO NI KUMALIZA NAFASI YA 4 BPL!!
      • Supermario Balotelli
      • Taarifa ya Katibu wa Bunge.
      • Post: Part-time journalist
      • Oscar Pistorius arrested over fatal shooting
      • Huyu ndiye Mrembo aliyeuawa na Bingwa wa Olympic y...
      • Museveni abuses uniform -Besigye
      • 2 *PhD* Positions in Programming Language-based Se...
      • Job Advert--BBC Worldwide Limited.
      • Analyst/Economist Vacancy
      • Tahadhari kuhusu kupandishwa vyeo kupitia ujumbe w...
      • Digitali yavunja ndoa za watu uswahilini
      • Pope Benedict will Resigns on February 28th, 2013
      • Michezo mbalimbali ya mwishoni mwa wiki! katika Pi...
      • Nigeria Mabingwa wapya wa Africa 2013
      • Baada ya Jamie Caragger kutundika Daluga...wajue w...
      • Master in Leading Innovation and Change from York ...
      • Vibwanga vya mastaaa wa majuu
      • Mwanafunzi wa miaka 9 mbaroni kwa kumwibia mwallim...
      • Drogba 's reaction after papis cisses goal
      • Heavy Equipment Engineers
      • Tanzania 1 Cameroon 0
      • FNB Celebrated one Year in Tanzania
      • TPA and Mombasa Porty Authorithy on mission to cur...
      • Mario Balotelli anza kungaa Italia
      • Maandalizi ya Super Bowl Sunday Yapamba moto
    • ►  January (14)
  • ►  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ►  October (50)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile