Wednesday, 24 October 2012
Mwanadada Jprdana atemana rasmi na mchumba wake
Posted on 02:49 by Unknown
Mwanadada machachari Jprda ambaye jina lake kamili ni Katie Price jana amaetabaisha ya kwamba ameachana rasi na aliyekuwa mchumba wake Leandro. Leandro ambaye ni muajentina wamekaa kwa muda wa mika miwili katika uuhisano wa kimapenzi na dada huyo ambaye ameshawahi kuolewa na kuachana na wanaume wawili na mama mwenye watoto watatu.
Itakumb
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment