Saturday, 27 October 2012
Breaking: Wavaa vimini muwe macho
Posted on 05:44 by Unknown
Habari ambazo haizdhibitishwa bado ni kwamba kuna watu wanawachapa bakora wa kina dada waliovaa vinguo vifupi kwa maarufu kama vimini mtaani na surali za kubana mwili. Tunaenda mitamboni tutawajuza habari kamili mara baaya ya kupata habari kamili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment