MAKANGALESOPHIE

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Monday, 22 October 2012

Wakristo Geita wasema OLE! Vitisho, uharibifu wa mali na Makanisa.

Posted on 21:24 by Unknown
WAKRISTO GEITA WACHARUKA, WADAI HAWATAVUMILIA KUCHOMEWA MAKANISA

Habari imeandikwa na MAGRETH CHABA

UMOJA wa Makanisa ya Kikristo ya Katoro wilayani Geita na Buseresere wilayani Chato, mkoani Geita umecharuka na kulaani kitendo cha hivi karibuni kilichofanywa na baadhi ya waumini wa dini ya Kiislam cha kuchoma moto Makanisa na kuharibu mali za Wakristo.

Kitendo hicho kilisababisha vurugu zilizotokea  Oktoba 12 mwaka huu, huko Mbagala Kizuiani jijini Dar es Salaam ambapo Makanisa saba yalichomwa moto kutokana na kitendo kinachodaiwa na mtoto mwenye umri wa miaka 14 kukojolea Qu’ran.

Umoja huo umetoa tamko kuhusiana na kitendo hicho katika mkutano wa uliofanyika juzi mjini Katoro na kuwakutanisha waumini wa madhehebu mbalimbali ya Kikristo pamoja na viongozi wao.

Akitoa tamko hilo, mwenyekiti wa umoja huo, Mchungaji Joseph Mwanzalima Hewa, alisema serikali ikishindwa kudhibiti matukio ya vurugu za baadhi ya Waislam kujichukulia sheria mkononi kutokana na udini, Taifa halitakuwa na amani.

Alisema kuna hatari ya Taifa, likaingia katika umwagaji wa damu kwani kwa Wakristo kuzidi kupumbazika kwa kuharibiwa mali zao ni jambo lisilovumilika.

Hewa alisema zaidi ya Biblia 50 ziliwahi kuchomwa moto lakini Wakristo hawakuchukua hatua zozote dhidi ya wahusika wala hakuna Msikiti uliochomwa moto na hakuna vurugu zilizotokea na hivyo kuhoji uhalali wa baadhi ya Waislam kuiweka nchi kwenye rehani ya vita ya kidini.
Alisema Serikali inapaswa kuingilia kati kukomesha matukio hayo yanayofanywa na baadhi ya makundi ya waumini wa dini ya Kiislam ili nchi iendelee kuwa kisiwa cha amani.

Aidha, alisema kama Serikali itashindwa kudhibiti matukio hayo, hawatavumilia kuendelea kuharibiwa Makanisa yao na kudai kuwa wako tayari kufa wakitetea haki zao.

Kiongozi huyo aliongeza kuwa waliohusika katika matukio hayo wanapaswa kuchukuliwa hatua kali za kisheria akiwemo kinara wa kikundi cha Uamsho Zanzibar, Sheikh Farid Hadi Ahmed.

“Serikali imekuwa ikiwakumbatia Waislam, sasa tunasema yatosha. Hatuwezi kuona mali zetu zinaharibiwa. Kama itakuwa kimya katika hili nchi itaingia katika vurugu kubwa na vita kutokana na udini ulioanza kujipenyeza,” alisema Hewa.

Naye aliyewahi kuwa mwenyekiti wa umoja huo, Isaya Ikili alisema anasikitishwa na watendaji wa Kata pamoja na viongozi wa Serikali kushindwa kuhudhuria katika mkutano huo licha kupewa mwaliko ili kujua matamko yao.

Alisema wako tayari kupambana na maadui wao wanaoharibu Makanisa yao na kwamba polisi wasiingilie vurugu hizo kama serikali itashindwa kuyadhibiti.

Source: http://www.wavuti.com
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in Local News | No comments
Newer Post Older Post Home
View mobile version

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
    Chr is tiano Ronaldo is famous as a great and cool football player. He play for England Manchester United Club, at age of 26 and he already...
  • Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.
    Maadhimisho ya miaka 100 ya kituo cha makumbusho ya utamaduni wa Kisukuma - BUJORA Mwanza.                 Makumbusho ya  ka...
  • Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA
    Computer System Analyst Grade I (Business Analysis) – One Post - (Re-advertised) E-Government Agency (EGA) Date Listed: J...
  • Tumehuzunika kidogo, Cesc Fabregas
  • Post: Part-time journalist
    Post: Part-time journalist Job Description Timely and accurately collecting African real-time news and then integrate the manuscript ...
  • Tempetation
    An Ivy League-educated marriage counselor who gives marital advice but finds it difficult to address issues with her own marriage.    Jur...
  • University of Dar es Salaam among top 100 Universities in Africa
    The university of Dar-es-Salaam has ranked fourth among top 100 popular universities and higher learning institutions in Africa. This is acc...
  • Community Relations Manager – (One Post)
    Community Relations Manager – (One Post) African Barrick Gold (ABG) Date Listed: May 15, 2013 Email Address: ...
  • Admission of Diploma holders into Higher
    TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES Admission of Diploma holders into Higher Education Institutions for the academic year 2013/2014. The T...
  • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
    Kim Kardashian aliweza tena kuuteka umati waliohudhuria katika sherehe za kuchangisha fedha kwa ajili ya mfuko wa kuchangisha fedha kwa ajil...

Categories

  • Africa (1)
  • Announcement (13)
  • Biashara (17)
  • Breaking News (4)
  • Burudani (11)
  • East Africa News (19)
  • Education (12)
  • Entertainment (8)
  • Fashions (1)
  • Habari (41)
  • Health (1)
  • International News (14)
  • Jamii (11)
  • Jobs (120)
  • Latest Sports News (3)
  • Local News (59)
  • Makala (8)
  • Michezo (25)
  • Music (5)
  • News (12)
  • Scholarships (4)
  • Scholarships- Jobs (7)
  • Siasa (1)
  • Sport (64)
  • sports (18)
  • Technology (2)
  • Tetesi za Usajili (9)
  • usajili (1)

Blog Archive

  • ►  2013 (335)
    • ►  September (9)
    • ►  August (18)
    • ►  July (23)
    • ►  June (27)
    • ►  May (91)
    • ►  April (53)
    • ►  March (41)
    • ►  February (59)
    • ►  January (14)
  • ▼  2012 (162)
    • ►  December (42)
    • ►  November (70)
    • ▼  October (50)
      • Hawa Jamaa hata Huruma hawana
      • World Bank report: Remove cross-border restriction...
      • Samsung:vowed to continue expanding its presence i...
      • Volunteer roles available in Tanzania
      • International Graduate Programme– Specialist Funct...
      • International Graduate Programme– Consumer Bank, S...
      • International Graduate Programme - Wholesale Bank,...
      • Consumer Bank Fast Track Programme, Standard Chart...
      • Management Accountant for Agricultural Development...
      • Twiga Cement awards Quarry Life winners
      • Barclays Bank Tanzania:Launched new Collections a...
      • Consumer Reports Auto Reliability Survey: Ford fal...
      • Blackaburn Rovers mazungumzoni na Harry Redknapp
      • Prem stars battle Messi ‘n Ron
      • TANZANIA PORTLAND CEMENT COMPANY LTD (TPCC LTD) AW...
      • The 2nd Children Arts and Cultural Festival
      • Michezo ya Ligi kuu ya Uingereza wikiendi hii kati...
      • Liverpool yalia na Simon Bennett, Chelsea yalia na...
      • Zitto: Vigogo walioficha mabilioni Uswisi kukiona
      • Di Matteo aulilia uongozi juu ya Ashley Cole!!
      • I'll talk with with Fergie - I've been a fan longe...
      • Kikongwe cha miaka 80 chamjia juu Fergie kuhusu mt...
      • Breaking: Wavaa vimini muwe macho
      • Dk Slaa amlipua JK
      • Sheikh Mubajje, Kayongo wanted out of office
      • FUBA: KIU Titans on trial against Miracle
      • Call for Applications for Journalism Training in S...
      • Trey Songz - Heart Attack
      • MAN UTD boss admits Chelsea's talented trio could ...
      • New Video: Far East Movement - Little Bird
      • MAN CITY boss has hit back at players who are not ...
      • Habari za Michezo mchanganyiko
      • Ligi ya mabingwa msimu ni Balaaa
      • Christiano Ronaldo and His 29 girlfriends List.
      • Mwanadada Jprdana atemana rasmi na mchumba wake
      • Barcelona vs Celtic 2-1 All Goals and Highlights 1...
      • Manchester United vs Sporting Braga [3-2] All Goal...
      • Je mwisho wa Barcelona ndio umefika
      • Rais Kikwete afungua mkutano mkuu wa 8 wa UVCCM .
      • Kim Kardashian awateka tena mashabiki kwa mavazi
      • Karaoke Night.
      • Reservations & Marketing For Africa-Vacancy
      • Marketing Officers (3posts)
      • Internship Placement
      • Regional and District Coordinators
      • John Terry katika kuongoza kampeni ya kupinga Ubag...
      • Italian scientists convicted over earthquake warning
      • Jalada la Elizabeth Michael ‘Lulu’ larejeshwa Kisu...
      • Wakristo Geita wasema OLE! Vitisho, uharibifu wa m...
      • Fergie: I'm not teed off with shirt snub Rio ReAl...
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile